Prof Gamba
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 390
- 254
Jambazi aliingia kanisani na bunduki, akasema wanaosema wanampenda YESU wabaki humu na wasiompenda watoke nje. Waumini wote wakatoka nje, ndani akabaki mchungaji tu na wazee wawili. Jambazi akamgeukia mchungaji na akasema, "Mtumishi unaweza kuendelea na ibada, nilitaka kukuondolea wanafiki....JUMAPILI NJEMA.
Je ungekuwemo humo kanisani ungechukua wamuzi gani kutokana na amri ya Jambazi?
Je ungekuwemo humo kanisani ungechukua wamuzi gani kutokana na amri ya Jambazi?