Hahahaaaaa hii kali! Unaposema ukimuacha mmoja hautakua umemtendea haki basi watambulishe wafahamiane ndio itakua jambo la busara....lol
nina girlfriend 2,wote wananipenda nashindwa fanya maamuzi coz nikimwacha mmoja sitajisikia kama namtendea haki naye atanilaumu sana.kubwa zaidi nimegundua kuwa wanakaa karibu na watakuja gundua.nisaidien p/se.am serious