Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
We unamwogopa fataki?Jina lako(id )linaniogopesha? Halina tofauti na Fataki
We unamwogopa fataki?Jina lako(id )linaniogopesha? Halina tofauti na Fataki
Soo of topic. ngoja niku-PM kwanzaJina lako(id )linaniogopesha? Halina tofauti na Fataki
Hio ni kweli me nimewahi kukutwa na hili nilikuja kustuliwa ijumaa kwamba jmos jamaa anaoa na alhamis alienda kwenye send off na siku hyo tulikuwa pamoja akaniambia kuna harusi ya mfanyakazi mwenzao anaenda eti hajapewa kadi anaenda kama mwanakamati hawezi kwenda na mimi kumbe ndo alikuwa anenda kwenye sendoff yake duh! me sina hili wala lile. wanaume Pu!Mapenzi ya dhati yalikuwapo zamani kwa sasa tunaongopeana tu!
Mhh!!! yani wewe, yani mpaka jamaa anaoa wewe hujui?Hio ni kweli me nimewahi kukutwa na hili nilikuja kustuliwa ijumaa kwamba jmos jamaa anaoa na alhamis alienda kwenye send off na siku hyo tulikuwa pamoja akaniambia kuna harusi ya mfanyakazi mwenzao anaenda eti hajapewa kadi anaenda kama mwanakamati hawezi kwenda na mimi kumbe ndo alikuwa anenda kwenye sendoff yake duh! me sina hili wala lile. wanaume Pu!
Hio ni kweli me nimewahi kukutwa na hili nilikuja kustuliwa ijumaa kwamba jmos jamaa anaoa na alhamis alienda kwenye send off na siku hyo tulikuwa pamoja akaniambia kuna harusi ya mfanyakazi mwenzao anaenda eti hajapewa kadi anaenda kama mwanakamati hawezi kwenda na mimi kumbe ndo alikuwa anenda kwenye sendoff yake duh! me sina hili wala lile. wanaume Pu!
Kumbe hata wewe umeona. Hapa kulikuwa na tatizo. Mawasiliano kuhusu matarajio na lengo la kuwa kwenye mahusiano yalikuwa ICU! Ni muhimu watu wakawa wanaongea kwa nini wako pamoja na watakuwa hivyo hadi lini! Ila mara nyingi naona kama dada zetu wanategemea hisani ya akina kaka ili watangaze nia. Hata hivyo inabidi kukumbuka kuwa wanaume wengi wanaingia kwenye mahusiano kumaliza kiu ya ngono tu, na mengine ni matokea.Mhh!!! yani wewe, yani mpaka jamaa anaoa wewe hujui?
Labda kama mlikuwa mnakutana kungonoka tu! na mliuwa hamna time pamoja!
Tulikuwa tunakutana kila mahari ila alienda kuoa nje ya mkoa me ninge juajae na kila nilipo muihitaji alikuwepo na mipango ya baadae ilikuwepo anyway woote mnao tetea ni wanaume ngoja niachane na nyie wanaume Pu!Mhh!!! yani wewe, yani mpaka jamaa anaoa wewe hujui?
Labda kama mlikuwa mnakutana kungonoka tu! na mliuwa hamna time pamoja!
Tulikuwa tunakutana kila mahari ila alienda kuoa nje ya mkoa me ninge juajae na kila nilipo muihitaji alikuwepo na mipango ya baadae ilikuwepo anyway woote mnao tetea ni wanaume ngoja niachane na nyie wanaume Pu!
Hivi mwanaume anapoamua kwenda kumchumbia mtu mwingine huku akiwa na msichana mwingine ambaye anamwonyeshea mapenzi kama kwamba ndiye mtarajiwa kumbe anamng'ong'a kisogo na kujifanya mkali kama ndiye baba mwenye nyumba kumbe loh. Ni hivi kulikuwa na mtu kaka na kaka mmoja ana girl friend wake kwa muda mrefu na kila mtu alikuwa huru kwa mwenzake na hata mmoja wapo akiwa na shida husaidiana sababu wote ni wafanyakazi. Juzi kati mwanaume alimfuata dada wa watu na kumwomba hela fulani eti ana shida sana ya haraka anaomba amuazime then atamrudishia, dada wa watu bila kujua lile wala lile akampa. Baada ya siku kama moja kupita ndio akapata udaku kutoka kwa watu wanaompenda eti huyo mwanaume ametoa mahali sehemu kuna mtu anataka kumwoa, dada akashtuka kiasi ila coz she's strong woman akaamua kulifuatilia na kuja kugundu kuwa ni kweli sasa basi kumbe ile hela aliyomuazima yule jamaa ilikuwa ndio ya kuongezea kwenda kulipa mahali kwa mwanamke mwenzake bila yeye kujua. Mbaya zaidi huyo anajidai kidume anaomba msamaha na kudai bado anahitaji mchango wake zaidi. Sasa huyo ni uchizi au? Inaboa sanaaaaaaaaa!
Mbona sielewi sielewi hapo? Embu nisaidieni wana wa JF!
Labda tokea mwanzo hamkupeana definition ya wazi ya uhusiano wenu..... Mwenzio anajua ni friends with benefits wewe wajua ndo wa maisha
Hairuhusiwi kusimama wala kufanya biashara yoyote hapa. Ni Amri by UtawalaHio ni kweli me nimewahi kukutwa na hili nilikuja kustuliwa ijumaa kwamba jmos jamaa anaoa na alhamis alienda kwenye send off na siku hyo tulikuwa pamoja akaniambia kuna harusi ya mfanyakazi mwenzao anaenda eti hajapewa kadi anaenda kama mwanakamati hawezi kwenda na mimi kumbe ndo alikuwa anenda kwenye sendoff yake duh! me sina hili wala lile. wanaume Pu!