Bado sana, nitakwambia...Thank u RR. . .yako lini?
Happy Birthday Don Mangi nakutakia maisha mema yenye baraka tele.
Mshukuru Mungu kwa kukufikisha hapo ulipo kwa kutenda sawasawa na Mungu anavyotaka na kuwaheshimu Baba na Mama yako ili upate kuishi siku nyingi zaidi kama Mungu alivyotuahidi.