St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,645
- 4,533
Kijana wa miaka 17,Jafar Welino mkazi wa mtaa wa mianzini kitongoji cha Mabatini naye ameibuka na kikombe chake.
Mama mkubwa wa kijana huyo Edina Sanga akisaidia zoezi la kutoa dawa
Tangazo
Dogo akipata kikombe..
Dawa ikichemka.
Wagonjwa wakisubiria dawa..
Source: Michuzi.