Chris_Mambo JF-Expert Member Aug 11, 2010 596 119 Mar 27, 2011 #21 The World is very sick! Surely, we'll believe on everything!!!
F Fay2011 Member Jan 29, 2011 46 9 Mar 27, 2011 #22 Sasa yeye dawa yake inatibu nini? Ni magonjwa sugu kama babu?
L Leornado JF-Expert Member Nov 12, 2010 1,529 196 Mar 27, 2011 #23 Sasa dogo anatumia mti upi kutibu? Babu wa Loliondo yeye ndoto yake ni tangu 1991 na akazembea hadi alipokumbushwa mara kwa mara. Huyu dogo ndoto yake hata mwezi haina na isitoshe kaoteshwa na mganga wa kienyeji sio MUNGU, watanzani angalieni mtanyweshwa visivyonyweka. Yangu macho na masikio
Sasa dogo anatumia mti upi kutibu? Babu wa Loliondo yeye ndoto yake ni tangu 1991 na akazembea hadi alipokumbushwa mara kwa mara. Huyu dogo ndoto yake hata mwezi haina na isitoshe kaoteshwa na mganga wa kienyeji sio MUNGU, watanzani angalieni mtanyweshwa visivyonyweka. Yangu macho na masikio
maroon7 JF-Expert Member Nov 3, 2010 11,144 15,143 Mar 27, 2011 #24 Hii kali,wapi mwanzo wapi mwisho... Jamaa wa rombo alisema atatokea mtu wa tatu,je ndo huyo dogo?
shanature JF-Expert Member Nov 15, 2010 1,302 910 Mar 28, 2011 #25 :juggle:babu kijana,,,,,, siku za mwisho bado sana,,,,,,mh badoniponipo kwanza,sijazidiwa sana!!!
T tripojo Member Jan 4, 2008 61 6 Mar 28, 2011 #26 Mie hivi karibuni nitatangaza dawa, nitakuwa naitoa kwa kijiko cha chai....unaruhusiwa kunywa mwisho mara mbili tu! Wabongo tuna mambo, na watatokea wengi manake watu wamegundua kumbe unaweza kupata sapoti ya wakuu wa nchi, ukala kiulaini....kaaaaaaz kweli kweli!
Mie hivi karibuni nitatangaza dawa, nitakuwa naitoa kwa kijiko cha chai....unaruhusiwa kunywa mwisho mara mbili tu! Wabongo tuna mambo, na watatokea wengi manake watu wamegundua kumbe unaweza kupata sapoti ya wakuu wa nchi, ukala kiulaini....kaaaaaaz kweli kweli!