Duduwasha
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 5,703
- 3,653
Yaelekea Wewe sio mtu wa kuelewa vizuri, una hoja nzuri ila hauwezi kuzifafanua.Kuna mtu aliambiwa na Nyerere kuwa bado hajawa tayari kuwa kiongozi na mpaka sasa anapeta. Unasemaje kuhusu utabiri huo wa mzee kuhusu huyo jamaa ambaye kwa sasa ndiye kinara wa chama alichokianzisha Nyerere?
Umesema vizuri jk aliambiwa bado hajawa tayari, ni sawa kabisa kipindi hicho alikuwa na age ya 40 bado kijana kuongoza kwani rafiki zake wote walikuwa masharobalo aliambiwa asubiri akue kwanza.
Na ikapita after 10 years akawa tayari hadi sasa yupo lakini alitahadharishwa kuwa EL hafai, yeye hakufuata yakamkuta hadi anaitwa Kilaza.
Umeongea kwa makini kumbe Huelewi fresh.....