Kwa nini kila analofanya linaonekana baya machoni mwa watanzania
Nyerere alimwambia kuwa nchi haiwezi kuongozwa na bepari kama yeye, kwani kuwa tajiri ni kosa?
Kikwete akamwambia asante kwa msaada wako lakini naomba ujiuzulu uwaziri mkuu kwa manufaa ya taifa, hivi taifa ni nani.
Kama hiyo haitoshi sote tunajua yeye na JK walivyohangaika pamoja hadi kutokea kuitwa Boyz 2 Men sasa anaambiwa hatakiwi kwenye chama wala sura yake haitakiwi kuonekana nec wakati yeye ni waziri mkuu mstaafu,sawa.
Kama vile tena haitoshi wanataka kumpokonya kadi yake ili akose hata ubunge alioutolea jasho, jamani tuna nini na mtu huyu hadi yote haya yamtokee yeye tu na si mwingine. Nisaidieni.
Nyerere alimwambia kuwa nchi haiwezi kuongozwa na bepari kama yeye, kwani kuwa tajiri ni kosa?
Kikwete akamwambia asante kwa msaada wako lakini naomba ujiuzulu uwaziri mkuu kwa manufaa ya taifa, hivi taifa ni nani.
Kama hiyo haitoshi sote tunajua yeye na JK walivyohangaika pamoja hadi kutokea kuitwa Boyz 2 Men sasa anaambiwa hatakiwi kwenye chama wala sura yake haitakiwi kuonekana nec wakati yeye ni waziri mkuu mstaafu,sawa.
Kama vile tena haitoshi wanataka kumpokonya kadi yake ili akose hata ubunge alioutolea jasho, jamani tuna nini na mtu huyu hadi yote haya yamtokee yeye tu na si mwingine. Nisaidieni.