Sasa hapa mwenye tamaa ni nani mtoa mada michael, nitonye, bishanga au nani? maaana hawa wote wanachangia hii topic! jaribu kumquote mtu ndio utaeleweka!hacha tamaa kumbe una mke? kuwa muungwana akidada manaake wengi tafuta moja sasa we wote unawataka nguvu utatoa wapi?
hacha tamaa kumbe una mke? kuwa muungwana akidada manaake wengi tafuta moja sasa we wote unawataka nguvu utatoa wapi?
Aisee kumbe tuko wengi hii kitu bwana inakata stimu kabisa. Kama vipi ipigwe marufuku kabisa watu tuenjoy bhana
FL,unatafuta nin kwenye jando?
Kama ni mimi ungenisaidiaje!?
you are out of bounds! hapa jandoni.
Du! ukishaanza kuingia pande za Chinese, ndio kushnei hiyo! si wajua bidhaa za China hazidumu?Ingebidi kutafuta spare kwa mchina .
Mmh hii nayo mpya!Huo pia ni uhanisi. Uhanisi uko wa aina nyingi, hata kuwahi kushusha ni uhanisi.
Mmh hii nayo mpya!
Mmmh! hii mpya nayo!
Sawa mkuu nakubaliana na wewe, lakini kuwahi kwenyewe ni ukiwa ushazamisha au ukijiandaa kuzama unakuta ushaharibu...? hapo vipi?Hapana sio mpya, hayo ni matatizo ambayo yapo na yanajulikana tiba zake, unaweza ku google erectile dysfunction and premature ejaculation treatment, utapata majibu.
Siongei kiutani hayo matatizo ya kuwa distracted na kitu chochote kingine wakati wa kujiandaa kufanya tendo na ukashindwa kusimisha itakavyo huo ni uhanisi.
Hapa nakukubali mkuu!Ni kama ukianza kucheza mpira chandimu ukianzia kucheza mpira peku peku na mpira wa makaratasi, baadae unaingia uwanjani unapewa viatu unakuwa ushazoea kupiga madochi unatoa nje.
Mi nashkuru nilipoanza kupiga danadana nilivaa raba.
Sawa mkuu nakubaliana na wewe, lakini kuwahi kwenyewe ni ukiwa ushazamisha au ukijiandaa kuzama unakuta ushaharibu...? hapo vipi?
Du! ukishaanza kuingia pande za Chinese, ndio kushnei hiyo! si wajua bidhaa za China hazidumu?
Ndio maana mimi huwa na2mia kondom za kumeza,yaani nazimeza kabisa kabla ya gemu!!!