mkerwaji
Member
- Feb 9, 2010
- 27
- 3
ukistaajabu ya lyatonga kaa tayari kusikia ya slaa!...mi nafikiri sio njaa ila anajaribu kuwachanganya zaidi wananchi wa tanzania ili wajue maana nyingine ya upinzani!.....labda ifikie mahala watanzania wengi wakajua upinzani sio maana yake kupinga kila kitu cha chama tawala, na kujumuika na upinzani sio dhambi!.....na kama kuna neno mbadala litumike kuliko neno upinzani, nafikiri tukiviita vyama vyenza itakuwa poa zaidi...mrema amefanya kile ambacho kinaonekana ni ukakasi mbele ya macho na masikio ya wengi lakini ni ukomavu na ushujaa wa kuigwa!.....tusiwe kama sera za george bush alokuwa na usemi kuwa....."if youre not my friend then youre my enemy"......
vyama vyenza bado vunaweza kushiriki mikutano ya chama tawala na bado vikabaki na maadili yake na uadilifu wake.....
hebu fikiria ikatokea chadema ndo chama tawala, then watu wa cuf nao wasiendee? mbona bungeni cuf na chadema marafiki?
mrema upo sahihi kufanya unaloamini ni la kweli!
vyama vyenza bado vunaweza kushiriki mikutano ya chama tawala na bado vikabaki na maadili yake na uadilifu wake.....
hebu fikiria ikatokea chadema ndo chama tawala, then watu wa cuf nao wasiendee? mbona bungeni cuf na chadema marafiki?
mrema upo sahihi kufanya unaloamini ni la kweli!