Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,603
- 29,747
...hiyo suruali imefunguka, kwenye goti kuna mchafuko wa NYESI nadhani walumendago wamemmwaga kimba jamaa. Walevi wengi wanakumbana na zahma hii ila siri yao (sijawahi kunywa pombe).
Brother Michuzi,
Naitwa Alex Kasengo, nafanya kazi kwenye mgodi wa dhahabu huku kanda ya Ziwa. Wakati wa mapumziko wiki iliyopita nilienda kutembelea kijiji karibu na mgodi huu.
Baadae nikamkuta huyo mzee kwenye picha kalewa chakari kama anavyoonekana hapo. Pombe sio mbaya ila ukinywa kama maji matokeo yake ndiyo hayo. Naomba uiweke hiyo picha kwenye hii blog makini ili wale wenye tabia kama hizo waache mara moja.
Kweli Pombe Sio chai
Pombe si kahawa walah