Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,299
- 33,080
Brother Michuzi,
Naitwa Alex Kasengo, nafanya kazi kwenye mgodi wa dhahabu huku kanda ya Ziwa. Wakati wa mapumziko wiki iliyopita nilienda kutembelea kijiji karibu na mgodi huu.
Baadae nikamkuta huyo mzee kwenye picha kalewa chakari kama anavyoonekana hapo. Pombe sio mbaya ila ukinywa kama maji matokeo yake ndiyo hayo. Naomba uiweke hiyo picha kwenye hii blog makini ili wale wenye tabia kama hizo waache mara moja.
Kweli Pombe Sio chai
Baadae nikamkuta huyo mzee kwenye picha kalewa chakari kama anavyoonekana hapo. Pombe sio mbaya ila ukinywa kama maji matokeo yake ndiyo hayo. Naomba uiweke hiyo picha kwenye hii blog makini ili wale wenye tabia kama hizo waache mara moja.
Kweli Pombe Sio chai