Magogoni Ndugu,Ni pazuri sana, Pako na fence na security 24/7. Usipopapenda njoo inbox nikuelekeze chimbo, kama ni KE itakua rahisi kumsaidiaNina mgeni wangu anakuja kutoka mahali fulani, sitaki afikie kwangu. Nataka nitafute Beach House nzuri, sea viewing.
Sio mbaya hata kama nikipata çlassic jungle House eneo tulivu. Iwe imezungukwa na bustani nzuri, miti, na sio mbaya ikiwa na ka swimming pool.
Au nyie wenzangu huwa mnapumzika wapi na wapenzi wenu?
Jibu na swali BMagogoni si ni ikulu? Au.?
Hizo mambo zipo kibao kimbiji kigamboni....Kuna center inaitwa yaleyale puna uliza pachkonjoI can afford, but I want something like home looking residence
Victoire umeona mtu anatoka majuu kutafuta K. Wewe ulikuwa unasangaa mtu kuitoa Dar K ili iliwe mwanzaNina mgeni wangu anakuja kutoka mahali fulani, sitaki afikie kwangu. Nataka nitafute Beach House nzuri, sea viewing.
Sio mbaya hata kama nikipata çlassic jungle House eneo tulivu. Iwe imezungukwa na bustani nzuri, miti, na sio mbaya ikiwa na ka swimming pool.
Au nyie wenzangu huwa mnapumzika wapi na wapenzi wenu?
Nina mgeni wangu anakuja kutoka mahali fulani, sitaki afikie kwangu. Nataka nitafute Beach House nzuri, sea viewing.
Sio mbaya hata kama nikipata çlassic jungle House eneo tulivu. Iwe imezungukwa na bustani nzuri, miti, na sio mbaya ikiwa na ka swimming pool.
Au nyie wenzangu huwa mnapumzika wapi na wapenzi wenu?
Kama ni mara yenu ya kwanza mi nakushauri uchukue tu loji ya kawaida ya elfu 40 utest zali kwanza. Unaweza igia gharama kubwa kutafuta sehemu exclusive mwisho unakuta uliyodhani yamo hayamo!Nina mgeni wangu anakuja kutoka mahali fulani, sitaki afikie kwangu. Nataka nitafute Beach House nzuri, sea viewing.
Sio mbaya hata kama nikipata çlassic jungle House eneo tulivu. Iwe imezungukwa na bustani nzuri, miti, na sio mbaya ikiwa na ka swimming pool.
Au nyie wenzangu huwa mnapumzika wapi na wapenzi wenu?
Nazjaz tupe uelekeoSijaona palipoandikwa kuwa anatoka majuu.
Atakuwa YahayaKwanini hutaki afikie kwako?
Nakazia.Kama ni mara yenu ya kwanza mi nakushauri uchukue tu loji ya kawaida ya elfu 40 utest zali kwanza. Unaweza igia gharama kubwa kutafuta sehemu exclusive mwisho unakuta uliyodhani yamo hayamo!
Mpeleke Ras KirokoI can afford, but I want something like home looking residence
Kwan hapo panaonekanaje? Peleka buguruni sasaI can afford, but I want something like home looking residence