jamani ache Mungu aitwe Mungu

CharmingLady

JF-Expert Member
Apr 16, 2012
18,255
12,872
habari zenu binafsi!!!!!
hebu fikiria mifumo yote ya mwili ingekuwa inatoa sauti wakati inafanya kazi, kungekuwa na kelele kiasi gani katka mwili wa binadamu?
1. mfumo wa upumuaji - mffmffmff
2. mfumo wa chakula ukisaga chakula - pokopokopokopo
3. ufumo wa damu ukisafirisha damu - shwaaa a a a a
na mifumo mingine yote! dah ingekuwa kelele ajabu.
hebu tuambie ni kitu gani kinakushangaza wewe?
 
habari zenu binafsi!!!!!
hebu fikiria mifumo yote ya mwili ingekuwa inatoa sauti wakati inafanya kazi, kungekuwa na kelele kiasi gani katka mwili wa binadamu?
1. mfumo wa upumuaji - mffmffmff
2. mfumo wa chakula ukisaga chakula - pokopokopokopo
3. ufumo wa damu ukisafirisha damu - shwaaa a a a a
na mifumo mingine yote! dah ingekuwa kelele ajabu.
hebu tuambie ni kitu gani kinakushangaza wewe?
Wataalam wa sheria,

Salaam kwenu na poleni na majukumu ya kila siku.

Kuna Dada yangu mmoja mume wake alifariki akiwa njiani kutoka kazini kuerejea nyumbani. Ilikuwa ni mida ya jioni alipokutana uso kwa uso na lori yeye akiwa anaendesha pikipiki. Waligongana kwa kosa la mwenye lori na akafariki hapo hapo. Nimesema kwa kosa la dereva wa lori kwa sababu ndiyo rule ya mahakama na dereva wa lori alikiri hivyo.

Baada ya msiba, mwajiri wa mume wa dada yangu aligharamia sanda, jeneza, shada la maua na usafiri wa magari mawili kwa ajili ya kusafirisha kwenda kwenye mazishi ndugu wa marehemu pamoja na mjane. Pia, mwajiri alitoa rambirambi kama taasisi na michango kutoka kwa wafanyakazi na kutoka kwa makampuni yenye mahusiano na taasisi aliyokuwa anafanyia mume wa dada yangu.

Sasa nachotaka kujua ni je, sheria inasemaje kuhusu fidia ya mwajiri kwa mjane maana marehemu shemeji yangu ameacha familia ikiwa na watoto wanaohitaji matunzo na kusoneshwa. Je, alichotoa mwajiri kinatosha au kuna kingine zaidi ikizingatiwa kuwa marehemu alipata ajali akiwa ametoka kazini kuelekea nyumbani?

Tafadhali wajuzi wa sheria wanisaidie katika hilo ili nami nione ni namna gani tunaweza kumbana mwajiri.



 
duh charminglady umefikiria nini?
anyway mimi kitu kinachonishangaza, hata kuwe na giza vipi,bado mkono haukosei kinywa
 
Last edited by a moderator:
Asprin mbna umechanganya madesa. hyo post yako peleka jukwaa la sheria. au mning'inio wa match unakusumbua?
 
Last edited by a moderator:
Asprin mbna umechanganya madesa. hyo post yako peleka jukwaa la sheria. au mning'inio wa match unakusumbua?
Wengi wajiunga Chadema, Mkusanyiko ulikuwa ni mkubwa sana kwa historia ya mwana siasa yeyote aliyewahi kutokea Houston TX . Mbowe awabadili Wana CCM na kuwa Chadema. Mbowe afanya Houston kuwa base ya CHADEMA na wanachadema watoa Pikipiki 126​


 
Ng'ombe kula majani na kutoa maziwa tu ndipo ninaposhangazika mimi hapo!!!

Au mtoto aanzae kujifunza kuongea kutamka neno 'mmama' badala ya 'bbaba' kwa mara ya kwanza ndipo ninaposhangaa mimi!!
 
Ng'ombe kula majani na kutoa maziwa tu ndipo ninaposhangazika mimi hapo!!!

Au mtoto aanzae kujifunza kuongea kutamka neno 'mmama' badala ya 'bbaba' kwa mara ya kwanza ndipo ninaposhangaa mimi!!
CCM+DMV+435.JPG
 
Ng'ombe kula majani na kutoa maziwa tu ndipo ninaposhangazika mimi hapo!!!

Au mtoto aanzae kujifunza kuongea kutamka neno 'mmama' badala ya 'bbaba' kwa mara ya kwanza ndipo ninaposhangaa mimi!!

Au ukubwa na mamisuli yote yale ya Nyati au Tembo...siri yake ni kula nyasi lol!
 
Au ukubwa na mamisuli yote yale ya Nyati au Tembo...siri yake ni kula nyasi lol!

Au Tyson na nguvu zake na ubabe wote ule ulingoni,lakini kuna mahala akifika anapanyenyekea kama anaomba uraia.
Chezeiya utamu wewe!!
 
Nani kakupa ruhusa ya kubandika picha yangu?
Jela inakuita nakwambia,
kwanza sensa imekukuta wapi?
Fyatanga,Decca,Rainer,Muarobaini,Kwa Mangi,Vigae au FairWay?
Sharti la kwanza kama wewe ni mfanyakazi wa ubalozi au una uhusiano na serikali ni lazima uhudhurie. Lakini kinachonishangaza ni kuona baadhi ya watu ambao walikuwa kwenye ufunguzi wa tawi la CDM leo hii wapo hapo, ina maana wamerudisha kadi au wamefuata mnuso?. Dickson vipi mwana Kazima leo hii unatafuta suruali nyeusi na shati la kijani ili kuhudhuria party ya CCM.

Hizi si events za kuhudhuria kwani hela inayotumika hapo ni ya walipa kodi wa Tanzania na hivyo kupata mlo ni sehemu ya kula jasho la watanzania waliopo nyumbani.



 
Au Tyson na nguvu zake na ubabe wote ule ulingoni,lakini kuna mahala akifika anapanyenyekea kama anaomba uraia.
Chezeiya utamu wewe!!

hahaha....hivi MadameB ushawahi sikia sauti ya Tyson?...huwezi amini ndio anamiliki ule mwili jumba
 
Sharti la kwanza kama wewe ni mfanyakazi wa ubalozi au una uhusiano na serikali ni lazima uhudhurie. Lakini kinachonishangaza ni kuona baadhi ya watu ambao walikuwa kwenye ufunguzi wa tawi la CDM leo hii wapo hapo, ina maana wamerudisha kadi au wamefuata mnuso?. Dickson vipi mwana Kazima leo hii unatafuta suruali nyeusi na shati la kijani ili kuhudhuria party ya CCM.

Hizi si events za kuhudhuria kwani hela inayotumika hapo ni ya walipa kodi wa Tanzania na hivyo kupata mlo ni sehemu ya kula jasho la watanzania waliopo nyumbani.




Nadhani bado Ulanzi upo kichwani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom