CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,255
- 12,872
habari zenu binafsi!!!!!
hebu fikiria mifumo yote ya mwili ingekuwa inatoa sauti wakati inafanya kazi, kungekuwa na kelele kiasi gani katka mwili wa binadamu?
1. mfumo wa upumuaji - mffmffmff
2. mfumo wa chakula ukisaga chakula - pokopokopokopo
3. ufumo wa damu ukisafirisha damu - shwaaa a a a a
na mifumo mingine yote! dah ingekuwa kelele ajabu.
hebu tuambie ni kitu gani kinakushangaza wewe?
hebu fikiria mifumo yote ya mwili ingekuwa inatoa sauti wakati inafanya kazi, kungekuwa na kelele kiasi gani katka mwili wa binadamu?
1. mfumo wa upumuaji - mffmffmff
2. mfumo wa chakula ukisaga chakula - pokopokopokopo
3. ufumo wa damu ukisafirisha damu - shwaaa a a a a
na mifumo mingine yote! dah ingekuwa kelele ajabu.
hebu tuambie ni kitu gani kinakushangaza wewe?