Yummy
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 1,796
- 1,336
Bibi shikamoo! Upo kweli hapa duniani au?
Laaziz upo?
Bibi shikamoo! Upo kweli hapa duniani au?
Hivi wewe Madame B na charminglady mbona mnauliza majibu.........mnataka tuwapeni vya uvunguni,poleni hatusemi ng'ooo!!!!
Laaziz upo?
Kinachonishangaza kwa nini iliitwa aspirini
Hivi when do you start growing from the day you are fertilized as an egg ?
As an zygote ?
Kisha life yako for the 9 moons ukaishi kwa kutegemea UMBLICAL CODE ? Umbilical ikawa it pumps blood through the arteries and then back to placenta! Hii ndiyo ajabu yangu kubwa kulikoni !
Tuambieni ili siku mkiachika tujue pa kuanzia.
Shauri zenu...!!!
Wife bana, hata huyu naye mnaniita? Uu wapi ule imoja wenu? Hebu mpigeni mande asepe zake bana.Na ushindweeee haachiki mtu hapa,hatulogekiii!!! BADILI TABIA na cacico hebu mwambieni huyu bibie apunguze spidi za kumsalandia mume wetu. Asprin njoo fukuza hii tembele hapa.
Wife bana, hata huyu naye mnaniita? Uu wapi ule imoja wenu? Hebu mpigeni mande asepe zake bana.
mke mwenzangu upo?? nashanga kwa kweli haya mambo! yapo nje ya uwezo wangu nachooookaaaaaaaa, ila kitakachowapata wanga wa ndoa yetu watakuja hadithia hapa, wacha nielekee kimanzi chana kwa babu!Na ushindweeee haachiki mtu hapa,hatulogekiii!!! BADILI TABIA na cacico hebu mwambieni huyu bibie apunguze spidi za kumsalandia mume wetu. Asprin njoo fukuza hii tembele hapa.
hubby siku hizi nakusoma kwa taabu sana, lolest!Siku utakapoletwa kwangu ndo utajua umuhimu wangu. Kama vipi usiache kutumia condom.
Nitumie PM taaaaamu ya mapenzi niburudike. Hakikisha unawakopi cacico na BADILI TABIA. Afu mbona unaniangalia hivyo?Hahahaaaa kipenzi unataka nikupe nini leo?
Wananichokoza honey. Nami sipendi uchokozi. Nyie mwanitosha sijui wananitakia nini? Mwone kama huyu...hubby siku hizi nakusoma kwa taabu sana, lolest!
yaani nyie tu na makengeza yenu, mbona hivyo lakini??? mbona siye twapendanaaaaa tena kupita mwanzoni! lolyan na mie namshangaa! hebu tuwaite wakeze waje hapa watuambie. cacico, BADILI TABIA Yummy njoon mtupe majibu huku. . .
mke mwenzangu upo?? nashanga kwa kweli haya mambo! yapo nje ya uwezo wangu nachooookaaaaaaaa, ila kitakachowapata wanga wa ndoa yetu watakuja hadithia hapa, wacha nielekee kimanzi chana kwa babu!
uwiii hubby huo ni uchokozi kabisaaaaaaa, kama huyo huna budi kumkagua kwakweli!Wananichokoza honey. Nami sipendi uchokozi. Nyie mwanitosha sijui wananitakia nini? Mwone kama huyu...
Nitumie PM taaaaamu ya mapenzi niburudike. Hakikisha unawakopi cacico na BADILI TABIA.