Pope
Senior Member
- Dec 3, 2007
- 117
- 0
Usimsahau Brother Ditto labda na yeye atapelekwa Saudia. Hivi kweli tuna raisi hapa au tumempa mtu nchi aichezee??
Sijakuelewa hapa lawama zako zinabase upande gani? kuhusu uteuzi wa Jaka Mwambi ama?
Kwa taarifa yako Jaka Mwambi ni Jembe huyu jamaa na PM wa sasa ngoma Draw kwa wanaomjua huyu watasema, hiki ni kizazi cha akina Jeneral Ulimmwengu wanatumia kili sana na busara kwenye maamuzi. kwangu mi naona angeweza kumtumia kwa kazi za ndani kuliko kumpeleka mahali kama Urusi lakini kwa Captain Jaka Mwambi pia Urusi panamfaa kwa manufaa ya Kiusalama zaidi maana huyu ana medani za Kijeshi ambapo hawa tunawatumia pia.