Pundit
JF-Expert Member
- Feb 4, 2007
- 3,733
- 123
Kasheshe,
It is interesting unamleta Paul Bomani.Paul Bomani in this case anaweza kulinganishwa na Jaka Mwambi. Kwa vipi?
Paul Bomani alitunukiwa mikazi kibao, chancellor UDSM, Chairman TBL etc etc, matokeo yake ndiyo hayo unayoyataja. My complain ni kwamba tusimpe mtu mmoja responsibilities kibao, hususan responsibilities ambazo zinakingana.Kama tunataka kumpa ubunge member wa NEC fine, vikao vinaweza kuingiliana, lakini member wa NEC huyo huyo, au mbunge huyo huyo awe balozi? Absurd.
Kusema kwamba experience siyo basis pekee hakumaanishi kuwa experience itupwe.certainly nitakuwa dissapointed kama rais ata appoint career diplomats wenye experience ya miaka mingi lakini hawana results.Tatizo ni kwamba Jaka Mwambi hana experience wala results na zaidi ya hapo ananuka rushwa kama ilivyoelezwa hapo juu.
Ukisoma vizuri utaona sina matatizo hata kama watam fast track mtu aliyesomea "conflict resolution" au "international diplomacy" na anayeweza kutuwakilisha vizuri.Lakini kama kuna watu wenye experience na results it is even better.
Tatizo ni kuwa hakuna mtu anayeweza kubisha kuwa Jaka Mwambi kama alivyoiabisha CCM kwa ufisadi wake hawezi kuzua "Mahalugate" nyingine huko Kremlin.Kwa hiyo this is more than just an issue of experience vs change kama unavyotaka kuliframe wewe.
It is interesting unamleta Paul Bomani.Paul Bomani in this case anaweza kulinganishwa na Jaka Mwambi. Kwa vipi?
Paul Bomani alitunukiwa mikazi kibao, chancellor UDSM, Chairman TBL etc etc, matokeo yake ndiyo hayo unayoyataja. My complain ni kwamba tusimpe mtu mmoja responsibilities kibao, hususan responsibilities ambazo zinakingana.Kama tunataka kumpa ubunge member wa NEC fine, vikao vinaweza kuingiliana, lakini member wa NEC huyo huyo, au mbunge huyo huyo awe balozi? Absurd.
Kusema kwamba experience siyo basis pekee hakumaanishi kuwa experience itupwe.certainly nitakuwa dissapointed kama rais ata appoint career diplomats wenye experience ya miaka mingi lakini hawana results.Tatizo ni kwamba Jaka Mwambi hana experience wala results na zaidi ya hapo ananuka rushwa kama ilivyoelezwa hapo juu.
Ukisoma vizuri utaona sina matatizo hata kama watam fast track mtu aliyesomea "conflict resolution" au "international diplomacy" na anayeweza kutuwakilisha vizuri.Lakini kama kuna watu wenye experience na results it is even better.
Tatizo ni kuwa hakuna mtu anayeweza kubisha kuwa Jaka Mwambi kama alivyoiabisha CCM kwa ufisadi wake hawezi kuzua "Mahalugate" nyingine huko Kremlin.Kwa hiyo this is more than just an issue of experience vs change kama unavyotaka kuliframe wewe.