William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Mkuu Pundit,
Hiyo scandal mbona sijawahi kuisikia? Au kuna siku iliwahi kuwekwa hapa JF? Au kama kuna kumbu kumbu mahali kwa nini msiilete hapa tukaichambua?
Mwambi anawezaje kuwa hana elimu ya diplomasia, wakati amekuwa naibu katibu mkuu wa CCM, nafasi ambayo mara ya mwisho ilikuwa imeshikwa na waziri mdogo wa sasa wa nje? Wakuu kwewnye elimu na uwezo wa Mwambi kuwa balozi mnakosa hoja.
Hiyo scandal mbona sijawahi kuisikia? Au kuna siku iliwahi kuwekwa hapa JF? Au kama kuna kumbu kumbu mahali kwa nini msiilete hapa tukaichambua?
Mwambi anawezaje kuwa hana elimu ya diplomasia, wakati amekuwa naibu katibu mkuu wa CCM, nafasi ambayo mara ya mwisho ilikuwa imeshikwa na waziri mdogo wa sasa wa nje? Wakuu kwewnye elimu na uwezo wa Mwambi kuwa balozi mnakosa hoja.