William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
1. Lusinde alikuwa balozi China na Kenya, huku akiwa mjumbe wa NEC na alikuwa akihudhuria vikao vyote bila tatizo.
2. Tunao mabalozi wa qualifications, na mabalozi wa zawadi, na wale ambao ni threat kwa waliopo madarakani, kwa kawaida supporting staff ya any ubalozi huwa ni very srong academically, kwamba it does not matter uwezo wa balozi kikazi, ndio maana siwezi kupoteza usingizi wangu na qualifications za mabalozi wetu,
ukweli ni kwamba, it is a none ishu!
2. Tunao mabalozi wa qualifications, na mabalozi wa zawadi, na wale ambao ni threat kwa waliopo madarakani, kwa kawaida supporting staff ya any ubalozi huwa ni very srong academically, kwamba it does not matter uwezo wa balozi kikazi, ndio maana siwezi kupoteza usingizi wangu na qualifications za mabalozi wetu,
ukweli ni kwamba, it is a none ishu!