Mchaga
JF-Expert Member
- Apr 11, 2008
- 1,378
- 204
Kwa ninavyofahamu heshima ya majaji katika mkondo wa sheria bado ni kubwa hivyo nategemea kuwa huyu mheshimiwa atakuwa ni uchaguzi sahihi.
Ni nadara sana kusikia kashfa kwa majaji ukilinganisha na wanasheria na mahakimu, angalau kwa mara ya kwanza tumefikiria nje ya boksi na kumteua jaji kushika nafasi ya mwanasheria mkuu wa serikali, napongeza sana jambo hili...
Ni nadara sana kusikia kashfa kwa majaji ukilinganisha na wanasheria na mahakimu, angalau kwa mara ya kwanza tumefikiria nje ya boksi na kumteua jaji kushika nafasi ya mwanasheria mkuu wa serikali, napongeza sana jambo hili...