Kwanini Membe aukwae u - PM? Ina maana Pinda kashindwa kazi? Au kwa sababu kila siku yuko bize kushangaa magari ya kifahari na suti badala ya kuagiza mabadiliko?
JK atakuwa katoa mpya kuvunja Baraza la Mawaziri mara 2 ndani ya kipindi cha miaka mitano. Nahisi kama Mwinyi naye aliwahi kufanya hivyo na sitaki kulihusisha hili moja kwa moja na uongozi wa kubebana na hivyo kushindwa kutekeleza majukumu ya serikali ipasavyo!!!
Kwa kifupi nchi imepoteza kabisa dira na mwelekeo. Kabisa !
Join Date: Mon Feb 2008
Location: Kwakunyuti
Posts: 360
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 22
Re: Jaji Frederick Mwita Werema ateuliwa Mwanasheria Mkuu wa serikali
tatizo Pinda maneno mengi...alizania uwaziri mkuu unahitaji tu maneno yenye busara na matamu kwa wananchi na watendaji which is very wrong, uwazi mkuu ni vitendo na vinavyoonekana wazi wazi...natamani angeiga style ya Lowasa hata punje tu.
__________________ Bad officials are elected by good citizens who do not vote
Duh! Invisible, What happened to my ''THANKED'' and THANKS'' ????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.