zimmerman
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 1,628
- 3,155
Na mimi nashangaa sana. Mara tumsubiri raisi ndio mwenye mamlaka ya mwisho kuhusu hatima ya Jairo; mara anajitokeza Luhanjo kwamba hii ni kesi yake hivyo ataimaliza yeye. Lakini nawalaumu wote waliompa kura huyu mtu mwenye IQ ndogo kabisa kuwahi kutokea kuwa rais wa nchi yetu. Sijui aliwarubuni nini nyie mwaka 2005 hadi mnamwita chaguo la Mungu. Mimi sikuwahi kumpa kura hata ya mwaka 2005 sikumpa hiivyo sina hatia mie. Mtakaa kwenye giza mpaka akili ziwaingieni!!!!!!