Arafat
JF-Expert Member
- Nov 17, 2009
- 2,581
- 758
Nimewataja TAKUKURU kwa kuwa jana wametamba kwamba wameanza uchunguzi na halafu ndiyo chombo pekee kilichopitishwa na bunge kufanya kazi kama hizi. Au washauri tumuombe DCI Manumba ashupalie hili suala, lakini looh nanongonezwa na kuwa kumbe Hosea wa TAKUKURU na Manumba wanatoka wilaya moja, sijui hiyo itaathiri utendaji wao!!! Kuhusu swali lako, miimi ni Mtanzania, naishi muda nusu kwa nusu Bongo na nje ya nchi katika kuhangaikia maisha. Kumbuka maneno ya Mwalimu Nyerere alipokuwa anaongea kuhusu uchaguaji wa candidate mzuri wa uraisi: 'Mimi siyo kuku sitagi mayai, lakini ukinipa yai bovu nitaligundua!!', hivyo nchi yangu naifahamu, ondoa shaka.
Nimeipenda sana hili jibu, thankx very much, mwaka gani huu Nyerere aliyoa hii naomba ili niitumie kwenye signature yangu.