Jairo ajiuzulu wadhifa wake

Status
Not open for further replies.

Malaria Sugu

JF-Expert Member
Jul 7, 2009
2,653
264
Sio wa mwanzo kufanya makosa na sio pia tanzania mpya.
Dk Hosea alisakamwa ndani ya bunge hadi kwa vyombo vya haabari na kushindikizwa kujiuzulu. lkn bado anadunda ndani ya ofisi ya umma.Tunamuacha astaafu kwa heshima.

mwanasheria mkuu wa sereakali aliestaafu kwa heshima.aliependekezwa aaachishwe kazi lkn amestaafu kwa heshima
mkuu wa polisi Omar mahita juu ya tuhuma mbali mbali amestaafu kwa heshima.

tumwacheni nae JAIRO astaafu kwa heshima kama tulivyozoea kwa viongozi wengine waliostaafu kwa heshima kwa makosa waliofanya.
kumshindikiza jairo aadhibiwe hatumtendei haki
 
Firstly i think it is not wise to judge the deputy secretary of the ministry of energy and mineral resources
as the sole cause of the shit the country is in currently in terms of electricity shortage

what i see these guys in the gov. Now what they have just did is look for a scape goat to cover their evils
to the tanzanians trying to shift the issues/dialogues from electricity shortage to corruption scandals
what i urge my fellow tanzanians is to continue pushing that what we need now is power

therefore to force these guys jairo, ngeleja and others to resign is just a very tiny part of the problem what we need the most is power and nothing else
 
Sio wa mwanzo kufanya makosa na sio pia tanzania mpya.
Dk Hosea alisakamwa ndani ya bunge hadi kwa vyombo vya haabari na kushindikizwa kujiuzulu. lkn bado anadunda ndani ya ofisi ya umma.Tunamuacha astaafu kwa heshima.

mwanasheria mkuu wa sereakali aliestaafu kwa heshima.aliependekezwa aaachishwe kazi lkn amestaafu kwa heshima
mkuu wa polisi Omar mahita juu ya tuhuma mbali mbali amestaafu kwa heshima.

tumwacheni nae JAIRO astaafu kwa heshima kama tulivyozoea kwa viongozi wengine waliostaafu kwa heshima kwa makosa waliofanya.
kumshindikiza jairo aadhibiwe hatumtendei haki

hatumuachi ni lazima tufe naye mkuu tunataka ile bilioni moja tugawane
 
Habari kutoka Dodoma zinaarifu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini amejiuzuru Rasmi wadhifa huo

More to follow

Update:
Habari ambazo nazipata hapa katika ofisi za Mjengo ni kuwa Anawajibika kwa Rais. Hold on huenda PM akatoa tamko muda si mrefu. Ila kashawasilisha barua ya kujiuzuru. Tunatafuta maarifa ya kujua content.

SOURCE NI GHOST RYDER No More question Wakuu, Acheni tufanye kazi
 
na baraza nzima la mawaziri na manaibu waziri pamoja na makatibu wazira wote wajiuzulu mara moja......maana wana copy na ku paste...ndio maana uchumi wetu unapolomoka kwa kasi....kikwete...ngoma zito waingize zito na mbowe na silaa ndani ya serikali yako....maana wote ni watanzania tena wazalendo na wanaweza kutumikia nchi....
 
Amesema ni kwa nini anajiuzulu? Yawezekana ni bangusilo na 'wakuu' wanataka kufunika kombe! Hii habari ya kulobby (kuhonga!) ili bajeti zipite imeanza kusikika muda mrefu tu.
 
  • Thanks
Reactions: mja
Jamani kama kuna mtu wa karibu na huyu Jairo amshauri amwage 'mchele' wote hadharani au aandike kitabu namna 'bajeti za serikali zinavyopitishwa'. Akifanya hivyo anaweza kabisa akawa ame-shape politics za hii nchi na kazi za bunge kama msimamizi/mwakilishi wa wananchi. Jairo aandika yote kwa manufaa ya umma.
 
Namhurumia sana tena sana,,,,,,,,wahusika wanajulikana JAILO ni BANGUSILO,VILONGOLA WAPO,TAZAMA KATUN YA KIPANYA YA LEO
Amesema ni kwa nini anajiuzulu? Yawezekana ni bangusilo na 'wakuu' wanataka kufunika kombe! Hii habari ya kulobby (kuhonga!) ili bajeti zipite imeanza kusikika muda mrefu tu.
 
Anastahili pongeza kwa kufahamu nini maana ya kuwajibika. Waziri na Naibu Waziri aliyewasilisha bajeti isiyoondoa tatizo watapewa nafasi ya kwenda kusimama mbele ya Bunge na kusoma bajeti ingine? Watafakari na kuchukua uamuzi unaofaa
 
Habari kutoka Dodoma zinaarifu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini amejiuzuru Rasmi wadhifa huoMore to follow
Hii ina tofauti na hii hoax ya jana? Deleted: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/156406-jairo-kajiuzulu.html
 
Kujiuzulu peke yake hakutoshi, mpaka siku Takukuru watakapomfungulia mashitaka hapa labda ndio Justice itakuwa imefanyika
 
  • Thanks
Reactions: FJM
sawa bora kafanya hivyo lakini sisi wananchi tunataka baraza lote lijiuzuru manaake they are insignificant and unworthy to manage[/b]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom