Jairo ajiuzulu wadhifa wake

Status
Not open for further replies.
Amepima uzito wa suala na amechukua uamuzi stahili. Lakini hii haitoshi. Ni dhahiri kwamba Jairo asingeweza kuandika barua ile bila Waziri na naibu wake kuhusika. Hivyo tunasubiri kujiuzulu kwa Ngeleja na Malima. Zaidi ya hapo, sheria ichukue mkondo wake.
 
Kama TAKUKURU wako serious, waongeze wigo wa uchunguzi, wapitie akaunti zote za Idara za serikali zilizoko hapo Dodoma yaani hiyo Geological Survey (Madini), Msalato na Bihawana Secondary (Elimu), Isanga Prisons (Mambo ya Ndani), Mirembe Nursing School (Afya), Makutupora JKT (Ulinzi) nk; hizi zote inawezekana ziunatumiwa kupitisha mafungu ili zitumike kuhonga wabunge. Na hasa wachunguze zile transfer kubwa kubwa za funds katika kipindi cha March hadi August. Naamini kwa kuwa wao ni wataalamu, basi watajua technic nzuri zaidi ya mapendekezo yangu. Lakini nikikumbuka uchakachuaji wa uchunguzi wa awali wa Richmond, basi na-reserve my comments kama hawa TAKUKURU wanaweza chukua maamuzi magumu!!!
 
Tushaiona au umeisha iona???? wewe na nani? usisemee wengine tafadhali

Sawa mkuu.
Hata hivyo anachanganya mambo huyu. Kilichoonekana mwanzo si barua hii bali yalinukuliwa baadhi ya maneno yaliyomo humo. Sasa yeye anavyodai ameiona sijui aliionea wapi. Angeiweka hapa basi na sisi tuione.
 
Kwani tunauhakika gani ni yakwake?

Ikigundulika shelukindo amelidanganya bunge kwa barua feki,,achukuliwe hatua gani?

Kalidanganya bunge kivipi wakati waziri mkuu amekubali,kuwa wamechemka na angekuwa na mamlaka angefukuza kazi kwahiyo kamripoti kwa rais ili atimuliwe.....huo mchezo wa kuonga ili budget ipite uko sana,ila kwa wizara hii lime bumburuka.......!
 
Kama TAKUKURU wako serious, waongeze wigo wa uchunguzi, wapitie akaunti zote za Idara za serikali zilizoko hapo Dodoma yaani hiyo Geological Survey (Madini), Msalato na Bihawana Secondary (Elimu), Isanga Prisons (Mambo ya Ndani), Mirembe Nursing School (Afya), Makutupora JKT (Ulinzi) nk; hizi zote inawezekana ziunatumiwa kupitisha mafungu ili zitumike kuhonga wabunge. Na hasa wachunguze zile transfer kubwa kubwa za funds katika kipindi cha March hadi August. Naamini kwa kuwa wao ni wataalamu, basi watajua technic nzuri zaidi ya mapendekezo yangu. Lakini nikikumbuka uchakachuaji wa uchunguzi wa awali wa Richmond, basi na-reserve my comments kama hawa TAKUKURU wanaweza chukua maamuzi magumu!!!

Mama upo nchni gani? PCCB hawana utaalam wowote kwani hukuona utaalam wao wakati wa sakata la rada na Chenge, Richmond na Dowands hukusikia matamko yao? inatakiwa ifutwe hiyo walahusiifikire hata kidogo.
 
Wakuu,

Wakati CCM imegubikwa na kashifa za ufisadi na yenyewe kudai kuwa inasingiziwa, sasa ili kuonyesha kweli si kama wanavyoifikiria. Inatakiwa kuwavua nafasi zote za uongozi katika chama hawa akina Ngeleja, Malima na Jairo. Kitendo au kusudio walilofanya ni aibu kubwa na halitakiwi wa kuitwa kujieleza, kwani kwanza kulikuwa na tetesi kuwa walitaka kuihonga kamati ya bunge, na sasa wakataka kuwahonga wabunge.

Ngeleja na Malima ni kada wa CCM waliotumwa na chama kwenda kutekeleza sera za chama serikalini, kama wanachwa je tuelewe hizo ndo sera walizotumwa kutekeleza?

Chama hakishabikii rushwa, hivyo chama hakihitaji kuwa na kigugumizi, CCM ina watu wengi safi wanaoweza kufanya kazi hawa wafukuzwe kwenye chama sasa hivi, na kuhusu kuwashitaki hilo ni jukumu la serikali
 
[Kifupi hayo "mawasiliano" ndo mpango mzima.

Mkuu Mtazamaji soma vizuri hiyo barua. Hata hivyo mimi naona ameandika akijua likilipuka atajihami kimtindo. Let us wait and see!!!!!!

Vizuri vipi unavytoaka kusema ebu wewe soma alfu uniambie. atajihami vipi

kwamba

  • Ni uratibu wa kwaida na wa seriali nzima serikai kuu kuomba fedha kutoka kwenye idara zake ili ifanikishe mawasilino . Hawezi kujihami kwa ujanja ujanja.
  • Hizo hela hazikuapngiwa matumizi hayo lakini katibu mkuu anajaribu kulazimisha utmia madaraka yake idara zilizzo chini yake zigahrimikie kitu kisicho katika mipango na kisicho sahihi
  • Kwamba idara za serikali zina fedha ipo zipo zipi kwa kazi kama hizo za kufaniisha mawasilino kwa wabunge.
  • Kama wabunge wanagharimikiwa hivyo kupata na kuelewa "mawasilino" ya nishati. na wabunge niwatu tunategemea wao better informed kuliko sie. Je hiyo Wizar itaaagiza kiaisi gani kitumike kila mkoa na wilaya kwa mawasiliano ili wananchi walewe nini inafanya ?
while we are wating to seee ebu nifafanulie mkuu anaweza kujihami vipi .?
 
Kama TAKUKURU wako serious, waongeze wigo wa uchunguzi, wapitie akaunti zote za Idara za serikali zilizoko hapo Dodoma yaani hiyo Geological Survey (Madini), Msalato na Bihawana Secondary (Elimu), Isanga Prisons (Mambo ya Ndani), Mirembe Nursing School (Afya), Makutupora JKT (Ulinzi) nk; hizi zote inawezekana ziunatumiwa kupitisha mafungu ili zitumike kuhonga wabunge. Na hasa wachunguze zile transfer kubwa kubwa za funds katika kipindi cha March hadi August. Naamini kwa kuwa wao ni wataalamu, basi watajua technic nzuri zaidi ya mapendekezo yangu. Lakini nikikumbuka uchakachuaji wa uchunguzi wa awali wa Richmond, basi na-reserve my comments kama hawa TAKUKURU wanaweza chukua maamuzi magumu!!!

Kama ni HOSEA do not expect miracles same story.Hosea yuko pale kulamba mshahara hana impact kwa taifa
 
waziri mkuu katuambia amepata maagizo mapya uchunguzi unaendelea anaondokaje wakati wa uchunguzi asielete ujinga

hivi maagizo ya awali ni yapi? kabla ya haya yanayoitwa mapya? maana mara ya mwisho pm alisema anamsubiri mkulu atue ndo ambrief,, means mpaka hapo hakukuwa na maagizo yoyote. anyway, tusubiri ngeleja na adam wanafanyaje
 
Hii inatakiwa na baraza zima la mawaziri lijiuzulu na waziri wa Nishati na madini yeye afukuzwe kabisa maana ni mwongo sana
 
mh pinda waziri mkuu alisema ataongea na raisi ili huyo jamaa afukuzwe kazi,hadi leo hajasema kama aliongea nae na majibu yalikua yapi.PCCB huwa wanatumia fedha na muda mwingi kutafuta waombaji na watoaji rushwa huyu jamaa ushaidi wa barua uko wazi,hawana haja ya kuzunguka,wamkamate wamfungulie mashtaka afungwe.swala la kujiuzulu kabla ya kufukuzwa kazi ni kukwepa matokeo ya kufukuzwa kazi ambayo yalikua dhahili.KUJIUZULU SIO DAWA.AFUNGWE ILI IWE FUNDISHO.pamoja tunajenga taifa.
 
Habari kutoka Dodoma zinaarifu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini amejiuzuru Rasmi wadhifa huo

More to follow
maskini NgeLeja na malima wamemtosa hivihivi mwenzao kwani asingeweza kuandika hiyo barua kama hakuagizwa na wakubwa wake
 

Mama upo nchni gani? PCCB hawana utaalam wowote kwani hukuona utaalam wao wakati wa sakata la rada na Chenge, Richmond na Dowands hukusikia matamko yao? inatakiwa ifutwe hiyo walahusiifikire hata kidogo.

Nimewataja TAKUKURU kwa kuwa jana wametamba kwamba wameanza uchunguzi na halafu ndiyo chombo pekee kilichopitishwa na bunge kufanya kazi kama hizi. Au washauri tumuombe DCI Manumba ashupalie hili suala, lakini looh nanongonezwa na kuwa kumbe Hosea wa TAKUKURU na Manumba wanatoka wilaya moja, sijui hiyo itaathiri utendaji wao!!! Kuhusu swali lako, miimi ni Mtanzania, naishi muda nusu kwa nusu Bongo na nje ya nchi katika kuhangaikia maisha. Kumbuka maneno ya Mwalimu Nyerere alipokuwa anaongea kuhusu uchaguaji wa candidate mzuri wa uraisi: 'Mimi siyo kuku sitagi mayai, lakini ukinipa yai bovu nitaligundua!!', hivyo nchi yangu naifahamu, ondoa shaka.
 
Atakuwa ameonyesha njia ila isiishie hapa lazima mtandao mzima uwe tracked ikiwemo list ya wabunge waliokula hizo hela. Ni rahisi kuwapata kwani benki wana jina la mtu aliye draw hizo hela na tarehe aliyochukua. Pia wizara nyingine zifuatiliwe maana najua huo ndio utamaduni wa serikali inayopinga rushwa lakini yenyewe inatoa rushwa kwa wabunge.

Hapa ndo napata picha kwamba siyo rahisi TAKUKURU ifanikiwe kufanya kazi kama autonomous institution kwani nao pia kama idara kuna jinsi nao walitakiwa watoe mchango wa rushwa kwa wabunge ili bajeti YA WIZARA yao ipite na kwa kufanya hivyo wataweza kupambana na rushwa vizuri zaidi. "WHAT A JOKE"
 
Nchi hii ni tabu tupu kulindana hadi mwisho kuna tetesi kuwa mkubwa amesema atamlinda ili astaafu kama alivyofanya kwa Mwansheria Mkuu aliyepita, habari ya kujiuzulu tanzania ni ndoto hakuna kitua kama hicho PM mwenyewe amesema amepewa maelekezo mengine na Presidaa ambaye bado yuko South anakula kuku. Nchi hii bwana kazi kweli kweli!
 
Mbona barua haisemi hiyo hela ni kwa ajili ya kuhongea wabunge? naona tu hapo anaeleza kwamba maafisa wa wizara watakuwa Dodoma kwa ajili ya kutoa ufafanuzi. Labda hiyo hela ilikuwa ni kwaajili ya hao maafisa wa wizara?
Halafu cha pili anasema kama ilivyo kawaida. So ina maana hili ni jambo ambalo huwa linafanyika kila mwaka!! So why do we blame him. Nafikiri ndiyo maana hata Kikwete ameshindwa kutoa maamuzi katika hilo. The only solution here, wabunge wa upinzani waibue move ya kutokuwa na imani na serikali. Maana kwa barua hii, ni dhahiri kwamba serikali nzima ndiyo ipo hivyo. Ipigwe kura ya kutokuwa na imani na serikali iliyopo madarakani full stop!!
Shellukindo alisasambua kuwa bahasha zilianza kutembezwa kwa baadhi ya Wabunge, kwani yeye ni miongoni mwa wale waliofikishiwa bahasha hiyo lakini Mungu akamsaidia akazikataa. sasa jiulize ni wabunge wangapi wa CCM waliopewa hizo Bahasha na kukaa kimya!!!!. kazi kwelikweli.
 
juzi waziri mkuu ameongea na jk ...pinda kaeleza kila kitu kwa marefu yake....unajua mkuu alijibu? alisema hiyo barua unayo hapo? naomba nitumiwe....pinda akanyoosha sentesi ya kufukuzwa kazi kwa katibu huyu mkuu na waziri wake kama kwa uzembe ......bado jk bado akawa hana kauli ya mwsho sana sana..aliomba hiyo barua ili ajiridhishe kwa kusema kuwa hataki kufanya maamuzi pasipo uhakika....akaomba kuongea na ngereja na jairo juu ya tuhuma na pia atumiwe barua.....
jana mchana pinda akaongea nae na kumwambia kuwa kwa hali ilivyo hakuna jinsi jairo akabaki ndio Raisi akamwamba pinda aziagize takukuru wafanye uchunguzi juu ya tuhuma hizi kama ni kweli au fabricated......

PCCB Ikichukuwa mwaka? Pinda sasa ajiuzulu yeye kama wanatofautiana mawazo na rais.
 
JF is The Home of Great thinkers,so unapoleta information Jamvini ambayo ina utata ni vyema ukaweka source ili kuondoa sintofahamu,isije watu wakachangia mawazo yao kumbe mi uzushi.
 
Huyu jairo muda sana hajandikwa na kusikika knye vyombo vya habari na mitandao akabuni njia ya nitoka vipi, akatoka na single ya mlungula........kama ni kuuza ameuza sana.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom