Jahazi lazama nungwi 20 waokolewa wengine wapatao 15 hawajulikani walipo kwa mujibu wa chanzo changu jitihada zimekwisha anza za kuwatafuta wasioonekana!!!
Ni kweli kuna upepo mkali sana nimepita hapo saa sita hali haikuwa nzuri sana, Pamoja na kuwa kifo hakizuiliki ila tahadhari inabidi kuchukuliwa hasa hivi vyombo vya kusafiria ikianzia na wasafiri wenyewe maana mara nyingi wanaodhurika ni abiria huku wamiliki/manaodha wakibaki salama
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.