Jack G
Member
- May 8, 2012
- 30
- 7
Habari JF,
Kwa muda sasa nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa mijadala mbalimbali hapa jamvini na nimeona vema kujiunga pia. Natumai mtanikaribisha. Kama nilivyoona mtiririko wa mijadala, mimi pia nakuja kwa lengo la kuchangia mawazo juu ya changamoto mbalimbali zinazoikabili jamii yetu. Kwa vile hapa JF kuna kanuni ya uhuru wa mawazo bila kuvunjiana heshima, nitajitahidi kuheshimu taratibu na kuwa tayari kurekebishwa ninapokosea. Hivyo ndivyo nami nitafanya kwa wengine bila woga. Cheers
Kwa muda sasa nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa mijadala mbalimbali hapa jamvini na nimeona vema kujiunga pia. Natumai mtanikaribisha. Kama nilivyoona mtiririko wa mijadala, mimi pia nakuja kwa lengo la kuchangia mawazo juu ya changamoto mbalimbali zinazoikabili jamii yetu. Kwa vile hapa JF kuna kanuni ya uhuru wa mawazo bila kuvunjiana heshima, nitajitahidi kuheshimu taratibu na kuwa tayari kurekebishwa ninapokosea. Hivyo ndivyo nami nitafanya kwa wengine bila woga. Cheers