3. Mwana nani yule Asha au Hawa Sijui Div. fourSasa kwanini wanashindwa kuwalipia wanao wawili walio hudhuria vyuo vikuu vya Madafu tuition fees?
1. Rizwan - UDSM - Mlimani 1st Degree Law
2. Rizwan sister - Muhimbili 1st Doctor's Degree
Sehemu niliyobold ni uongo siyo $5,000.00 per day. Cheki hiyo attachement.
Labda huo ni mtazamamo wake tu mkuu.
View attachment 54241
Sasa kwanini wanashindwa kuwalipia wanao wawili walio hudhuria vyuo vikuu vya Madafu tuition fees?
1. Rizwan - UDSM - Mlimani 1st Degree Law
2. Rizwan sister - Muhimbili 1st Doctor's Degree
Bandungu, msione ajabu Kikwete na mkewe wanapiga trip 3 hadi 5 nje ya nchi kila mwezi, kwani kwa mtaji huu hata mfanya biashara mkubwa Tanzania hawezi shindana nao. Maana hapo awali tulishafahamishwa kuwa mke wake Kikwete analipwa per diem sawa na Kikwete mwenyewe: $5000 kwa siku.
Mkuu huwezi kumfananisha Rais na mfanyabiashara.
Hivi kuna umuhimu gani kufuatana na mkewe?