zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Nonsense
Talking about President's per diem makes a lot of your senses. Strange!
Nonsense
Hahahahaha, kazi ya Mungu haina makosa.
Mkuu huwezi kumfananisha Rais na mfanyabiashara.
Ukweli ni kwamba Kikwete na mkewe wanalipwa zaidi ya $10,000 kwa siku. Hiyo attachment yako ni danganya toto tu.
huu ni uzushi usio na tija. What is your source? even if that will be the case at Camp David G8 Summit Tanzania has been granted Millennium2 $900m for agriculture project. If you remember Millennium1 we got $700m for infrastructure. Mdau usikurupuke tu kutoa hoja bila data. by 2015 Tanzania tutalisha nchi zote za Africa Mashariki.