FairPlayer
JF-Expert Member
- Feb 27, 2006
- 4,145
- 716
wapendwa wana JF.
najua baada ya kusoma title ya thread hii, wengi wenu mtamaka "here we go again!".
i have to declare my interest first. mimi ni mfuasi mkubwa wa falsafa na mitizamo ya marehemu mwalimu JKN. so, it goes without saying that i strongly supported mwalimu when he disapproved EL for presidency back those years. i still believe kwamba mwalimu was very right - i must quickly add "at least under circumstances at that point in time".
topic ya thread hii si kitu kigeni sana kwenu i know...ninachofanya ni kujaribu tu ku-inject a slightly different tone!
ninatambua kuwa EL amejadiliwa sana humu jamvini - both negatively and postively. while integrity yake imekuwa questioned na wapinzani wake kwa upande mmoja, kwa upande mwingine wale wanaomuunga mkono wana-cite "uchapaji kazi wake uliotukuka".
richmond scandal imekuwa ikitumika sana kumkandamiza EL. lakini sote tunajua kuwa EL alikuwa anasimamia maamuzi yaliyopata baraka zote kutoka kwa boss wake JK. hapa juzi juzi prof muhongo amefanya heroics pale TANESCO ambazo zina viashiria vyote, japo si kwa scale, vya yale maamuzi ya EL kwenye richmod. lakini mwisho wa siku mmoja anaitwa shetani while mwingine anaitwa malaika!
EL ni tajiri, yes. but tell me who isn't. mathalani kamanda wangu mbowe ni tajiri, does that rule him out as a potential presidential material? i dont think so!
lengo la thread hii ni kupendekeza tuwe na objective approach ya kuwapima watu ambao tunawatarajia wawe au wanaoonekana wana nia ya kuwa viongozi wetu.
kutoa sweeping statements kama "so and so ni tajiri kupindukia, mhuni, etc" is not only unscientific but also very mediocre. honestly, hatuwezi kumpata kiongozi aliye na sifa za malaika - atakuwa na hili zuri na pia atakuwa na jingine baya. cha msingi ni kuwepo kwa a measurable criteria.
why, then, dont we design a formula that will lead us to quantify all the important components and attributes of a leader that we are all dying to get for that highest position? for instance, JK alichaguliwa kutokana na bashasha zake (a big mistake) bila ya kuangalia maeneo mengine yanayo-matter zaidi. kwa nini tuendelee kufanya makosa yale yale?
mind you am not here to champion for EL course, far from it, si chaguo langu. ninachokiongelea hapa ni kutoa hukumu ya haki kwa wote.
vile vile kwa vile EL ni miongoni mwa starring aspirants for 2015 presidency nimeonelea nimtumie tu kama mfano katika kutafakari juu ya kiongozi atakayetufaa.
this is not fantasy thinking, it is real!
Unanikumbusha zamani enzi za Nyenzi.com na Bcstimes.com
Tulikua tunakata nyanga namna hii. Siku hizi hawa dot com wengi wao maji matupu!