J. K Nyerere: 'Malecela na Lowassa hawafai urais Tanzania'

wapendwa wana JF.

najua baada ya kusoma title ya thread hii, wengi wenu mtamaka "here we go again!".

i have to declare my interest first. mimi ni mfuasi mkubwa wa falsafa na mitizamo ya marehemu mwalimu JKN. so, it goes without saying that i strongly supported mwalimu when he disapproved EL for presidency back those years. i still believe kwamba mwalimu was very right - i must quickly add "at least under circumstances at that point in time".

topic ya thread hii si kitu kigeni sana kwenu i know...ninachofanya ni kujaribu tu ku-inject a slightly different tone!

ninatambua kuwa EL amejadiliwa sana humu jamvini - both negatively and postively. while integrity yake imekuwa questioned na wapinzani wake kwa upande mmoja, kwa upande mwingine wale wanaomuunga mkono wana-cite "uchapaji kazi wake uliotukuka".

richmond scandal imekuwa ikitumika sana kumkandamiza EL. lakini sote tunajua kuwa EL alikuwa anasimamia maamuzi yaliyopata baraka zote kutoka kwa boss wake JK. hapa juzi juzi prof muhongo amefanya heroics pale TANESCO ambazo zina viashiria vyote, japo si kwa scale, vya yale maamuzi ya EL kwenye richmod. lakini mwisho wa siku mmoja anaitwa shetani while mwingine anaitwa malaika!

EL ni tajiri, yes. but tell me who isn't. mathalani kamanda wangu mbowe ni tajiri, does that rule him out as a potential presidential material? i dont think so!

lengo la thread hii ni kupendekeza tuwe na objective approach ya kuwapima watu ambao tunawatarajia wawe au wanaoonekana wana nia ya kuwa viongozi wetu.
kutoa sweeping statements kama "so and so ni tajiri kupindukia, mhuni, etc" is not only unscientific but also very mediocre. honestly, hatuwezi kumpata kiongozi aliye na sifa za malaika - atakuwa na hili zuri na pia atakuwa na jingine baya. cha msingi ni kuwepo kwa a measurable criteria.

why, then, dont we design a formula that will lead us to quantify all the important components and attributes of a leader that we are all dying to get for that highest position? for instance, JK alichaguliwa kutokana na bashasha zake (a big mistake) bila ya kuangalia maeneo mengine yanayo-matter zaidi. kwa nini tuendelee kufanya makosa yale yale?

mind you am not here to champion for EL course, far from it, si chaguo langu. ninachokiongelea hapa ni kutoa hukumu ya haki kwa wote.
vile vile kwa vile EL ni miongoni mwa starring aspirants for 2015 presidency nimeonelea nimtumie tu kama mfano katika kutafakari juu ya kiongozi atakayetufaa.

this is not fantasy thinking, it is real!

Unanikumbusha zamani enzi za Nyenzi.com na Bcstimes.com

Tulikua tunakata nyanga namna hii. Siku hizi hawa dot com wengi wao maji matupu!
 
Unanikumbusha zamani enzi za Nyenzi.com na Bcstimes.com

Tulikua tunakata nyanga namna hii. Siku hizi hawa dot com wengi wao maji matupu!

hii nilikuwa nimeianzisha kama thread inayojitegemea lakini wenye "hekima" zao wameamua kuichanganya na thread nyingine ambayo kwa "hekima" zao nadhani wameona eti zinashabihiana.
ironical!

and this is one of the weakest links by our almighty JF mods - yes, am being critical to them because am bitter! wameanza kamtindo ka kukurupuka kufanya maamuzi kabla ya kufanya critical analysis ya subject matter. lakini wakumbuke kuwa kufanya maamuzi kwa kukurupuka jinsi hii tayari kumetu-cost Watanzania baada ya kukurupuka na kuishia kupata president dizaini ya JK.

i call upon mods wairudishe hii thread isimame kivyake ili kwa pamoja kupitia JF tuweze kutengeneza formula itakayotuwezesha ku-quantify criteria ya kumpata raisi ajaye.
 
Nafikiri wafuasi wako na kundi lako watakuelewa na kukupongeza kwa uliyoandika bila kuwa na ushahidi wowote. Nashangaa mbona hakufunguliwa kesi ya rushwa, kutumia vibaya madaraka, na huyo J. K. wako ambaye Mwalimu alimkubali kwamba hana doa mboa katuleta kwenye matatizo kiasi hiki. Mimi ni vigumu sana kukubaliana na mambo ya kusema Nyerere alisema, Nyerere hakuwa Mungu, mwenyewe alituletea umaskini wa kutisha mpaka tulipompata Mwinyi. Bora kumpata Rais mwenye pesa na maendeleo kuliko maskini atakayeanza kutafuta pesa akiupata urais atatupa shida sana huyo.

Nakuunga mkono 100% Nyerere cyo Mungu kila ki2 Nyerere alisema. Mnatuzingua, kama ni uchafu kila mwana CCM ni mchaf kwa nafas yk. Hivyo sioni ubaya wa EL ktk kutimiza harakati zake za kwenda ikulu. Big up EL!
 
Nafikiri wafuasi wako na kundi lako watakuelewa na kukupongeza kwa uliyoandika bila kuwa na ushahidi wowote. Nashangaa mbona hakufunguliwa kesi ya rushwa, kutumia vibaya madaraka, na huyo J. K. wako ambaye Mwalimu alimkubali kwamba hana doa mboa katuleta kwenye matatizo kiasi hiki. Mimi ni vigumu sana kukubaliana na mambo ya kusema Nyerere alisema, Nyerere hakuwa Mungu, mwenyewe alituletea umaskini wa kutisha mpaka tulipompata Mwinyi. Bora kumpata Rais mwenye pesa na maendeleo kuliko maskini atakayeanza kutafuta pesa akiupata urais atatupa shida sana huyo.

nakuunga mkono >100% Nyerere mwenyewe ana madudu yk mengi tu c kila ki2 hadi leo hii nyerere alisema. Big up EL, tukisema uchafu every mwna CCM ni mchafu kwa nafasi yake.
 
Lowasa 2015 OYEEEE: JK atakuwa mkosefu wa fadhila kama ataendelea kumpiga vita EL. Kazi kubwa aliifanya EL na kundi lake kumfanya JK afahamike hata vijijini kwetu ambako alikuwa hajawahi kusikika hata siku moja. Kijijini kwangu ni zaidi ya KM 900 kutoka DAR lakini hata watoto wadogo nilipokwenda likizo nilikuta wanamuimba JK katikati ya kampeini za 2005. Kazi hiyo yote ilifanywa na akina JK nawenzake kimya kimya yeye akiwa anazunguka OVERSEAS akiwa waziri wa Nje. Hakupata nafasi ya kuzungukia mikoani sababu wizara ile haitoi fursa hiyo. Lakini sitashangaa kwa kuwa watu wanasema jamii ya watu wa pwani shukrani kwao mwiko!!!!! Mtendee wema nenda zako usisubiri shukrani.
 
Lowasa ni wa kuswekwa keko. Kama akihurumiwa basi segerea ila sio ikulu. Never.

Waziri mkuu wa zamani wa italy kapigwa mvua nne kutokana na jina, so lowasa waziri mkuu wa zamani wa tz nae aende lupango, kama mbwai, mbwai tu!
 
Rushwa iliyotokea jana uchaguzi wa wazazi ndo inanifanya nimchukie kabisa Laighwanan.

Hivi mtu anapotoa rushwa na kushinda na ushindi wa kishindo anajiskiaje?? Huyu ana tofauti gani na denti anaefaulu kwa mafeki kisha anaingia darasa la saba kuandika hajui???

MUNGU IBARIKI TZ
 
Kama watz tukiletewa Lowasa na ccm na wtz tukamfanya kuwa rais wa tz kwa kuamini kuwa hawezi kutuibia kwa sababu anafedha za kutosha hapa tumeliwa.tutegemee kunyang'anywa hata kile kidogo tulicho nacho.mwenye fedha huwahatosheki pia hapendi mwenzake apate.
 
TUKUNDANE...MKUU NIMEKUPATA VIZURI....Kuna watu wana akili kama punguani eti wanadai kwakua Lowasa kaiba mihela mingi na kala rushwa sana na kapata utajiri kimagumashi basi ametosheka hataiba tena so tumchague yeye eti tukimchagua maskini ndo atatuibia!!!

Kweli akili za watu kama hawa naona wanashikiwa na lowasa. Hivi ni tajiri gani anaetosheka na hela. Mengi au Bakhresa wametosheka na utajiri?

J.K. Nyerere-"RUSHWA NI KAMA KULA NYAMA YA MTU, UKIANZA HUASHI, MAISHA YAKO YOOTE UTAKUA MLA RUSHWA"
 
Maadam FEDHA ndio imekuwa msingi wa kuchaguliwa ktk chama chao, hata shetani mwenyewe akija na kugawa fedha atapitishwa.
 
BABA KIKI

Ni kweli kabisa kwamba kwa hawa watu yaani wao hata shetani akija na pesa wao hawana neno wapo tayari kuongozwa na shetani miaka kumi ili mradi awape vichenji vya kunywea gongo. Zamani nilidhan hizo rushwa ni za maana na labda zinawezakua mtaji wa kuanzia biashara but magazeti yanavyoripoti kua LOWASA (RUSHWA) inayotolewa ni buku 40 au 70 ndo naona wabongo NI MATAAHIRA!
 
Nafikiri wafuasi wako na kundi lako watakuelewa na kukupongeza kwa uliyoandika bila kuwa na ushahidi wowote. Nashangaa mbona hakufunguliwa kesi ya rushwa, kutumia vibaya madaraka, na huyo J. K. wako ambaye Mwalimu alimkubali kwamba hana doa mboa katuleta kwenye matatizo kiasi hiki. Mimi ni vigumu sana kukubaliana na mambo ya kusema Nyerere alisema, Nyerere hakuwa Mungu, mwenyewe alituletea umaskini wa kutisha mpaka tulipompata Mwinyi. Bora kumpata Rais mwenye pesa na maendeleo kuliko maskini atakayeanza kutafuta pesa akiupata urais atatupa shida sana huyo.

wonderful unamlinganisha mwinyi na nyerere?
 
Hoja ulizotumia ya kwamba mkutano mkuu utamkataa
Lowassa n dhaifu sana na kwamba wanaomsafisha wananjaa s kwel mbona unaorodhesha mabaya yasiyo kuwa na ukwel wala ushahid vp mbona mema yake huyaelezei jarbu kubalans ushabk wako
 
Kaka DVD unaonaje ukinisaidia hayo mazuri ya MZEE WA RUSHWA ili kubalansi kaka?
 
Mtoa hoja hajaongea lolote jipya zaidi ya kutukumbusha udikiteta wa Nyerere na kipenzi chake Mkapa ambaye kwangu mimi Mkapa ni msaliti namba moja wa Nyerere kwani ndiye aliyechukua tulivyokuwa tunamiliki wote na kuwagawia rafiki zake na hasa watu wa nje kwa kisingizio cha uwekezaji, akauza na nyumba za umma. La pili aliloongea huyu mtoa hoja ni kile ambacho wanaCCM wengi hawapendi kukili kuwa katika chama chao hakuna demokrasia isipokuwa maslahi ya anayekuwa mwenyekiti. Anasema kabisa kuwa Lowasa atachinjiwa baharini. Kuchinjia mtu baharini sio sifa ya demokrasia ila ya demokrasia feki ambayo kwa muda mrefu CCM wakishirikiana na usalama wa taifa wamekuwa wakiitesa nchi.
Tanzania ya leo sio ya mwaka 1995 na hata CCM yenyewe ya leo sio ile ya 1995, mengi yamebadilika kwahiyo historia sio hoja sana. Umeweza kutueleza jinsi Lowasa asivyofaa tukikwambia tumia hata nusu ya page kutuelezea mtu anayefaa utaishia kununa. Mwisho Nyerere hakuwa Mungu, alikuwa binadamu kama mimi na wewe na hivyo kuwa na watu aliowapenda kama Mkapa na watu aliowachukia kama Lowasa. So kuchukiwa na Nyerere sio hoja kwa dunia ya sasa ambayo asilimia kubwa ya wapiga kura hawajawahi kutawaliwa na Nyerere hivyo wanamsikia tu. Ni mtazamo tu
 
Tuache unafiki hata jk alikataliwa hivyo tusipotoshe histioria eti tuu kwa sababu ameingia ikulu.
 
Kwenye ukweli iuongo hujitenga...ni rahisi kwa ngamia kupita kwenye tundu la risasi kuliko lowasa kuingia ikulu
 
Nyerere si Mungu lakini kama kiongozi aliyelipenda taifa hili kwa dhati, hakutaka upuuzi kwenye mambo mazito yaliyohusu taifa. Mengi aliyozungumza na kukemea yapo mpaka leo. Viongozi wazuri wote kama inavyoeleza falsafa huwa hawatafuti uongozi bali wanatafutwa na kuobwa kuwa viongozi. Lowassa hayupo kwenye hili group. Huyu ni mchumia tumbo pamoja na kundi lake linalomtetea. Kwanini anatumia nguvu nyingi kwenda Ikulu. Huku ni kulinda kundi fulani nyonyaji (Rostam, Chenge, etc) na si maendeleo ya nchi hii. Tumechoka na mada za namna hii. Let's think of qualities of a good leader for us to approach and convince him/her than this rubish ya Lowassa na group lake.
 
Back
Top Bottom