J. K Nyerere: 'Malecela na Lowassa hawafai urais Tanzania'

Hakuna jipya hapa. Just recycling old stories kwa kuzifanyia cosmetic changes ili zionekane kama ni mpya vile.

Nani asiyejua hayo yote uliyoandika? Unadhani Watanzania ni ignorant kiasi hicho?

Labda kwa vile Watanzania ni watu wa kuambiwa tuu utawakamata wengi tuu hapa.

Nyie wenyewe kama mna taarifa zote kuwa Lowassa ni fisadi mmefanya nini so far?

Kama Lowassa hafai kuwa rais basi ni kigezo kuwa aliyeko nyuma yako na unayejaaribu kumtetea anafaa?

Next time njoo na hoja kwa nini unayetetea anafaa kuwa rais, siyo kwa nini mpinzani wake hafai kuwa rais.

Acha kabisa kuwahadaa wananchi kwa kuwatumia kama toilet paper.

Mimi nakubaliana na wewe kwa msingi kwamba Ndg mtoa mada tangu mwanzo amekuwa akiwaponda sana EL na Malechela kwa kigezo cha mwalimu alisema. Kama Mwl alisema na ikathibitika hivyo ni hatua gani iliyochuliwa?

Inavyoonekana mtoa mada ana ajenda yake ambayo nalazimika kuamini kwamba kwa mada hii, huu ni utangulizi tu. Ni bora angeenda moja kwa moja na kueleza ni nani sasa yeye anaye ona anafaa, in other words anamtumikia nani?

Nawasilisha
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Mimi nakubaliana na wewe kwa msingi kwamba Ndg mtoa mada tangu mwanzo amekuwa akiwaponda sana EL na Malechela kwa kigezo cha mwalimu alisema. Kama Mwl alisema na ikathibitika hivyo ni hatua gani iliyochuliwa?

Inavyoonekana mtoa mada ana ajenda yake ambayo nalazimika kuamini kwamba kwa mada hii, huu ni utangulizi tu. Ni bora angeenda moja kwa moja na kueleza ni nani sasa yeye anaye ona anafaa, in other words anamtumikia nani?

Nawasilisha

Ndo maana kaja na https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...e-top-10-nec-kundi-la-kifo-3.html#post4961022
 
Wadau!

Huwenda swali langu hapa likawa " Je kuna ukweli upi kwamba mwalimu JK Nyerere aliwakataa Mh. John Samwel Malechela, Mh. Edward Lowasa na Mh. JM Kikwete? kama ni kweli, ningependa kujua yafuatayo:-


  1. Sababu zilikuwa zipi zilizo mfanya mwalimu kuwakataa?
  2. Je aliwakataa kwa kipindi fulani tu ama hakuona potential ya uongozi kwao?
  3. Ikiwa kuna ukweli kwamba mwalimu aliwakataa waheshimiwa hawa, unadhani kama leo hii angekuwa hai angewakataa kina nani?

Asanteni na karibuni.
 
Wakoloni walipoamua kututawala si kuwa walipenda,bali kutokana na raslimali nyingi tulizokuwa nazo waafrika.watu hawa waliona hata kama watatumia nguvu kubwa, hakukuwa na hasara

Wapo waliwekeza kwenye migodi,wengine kwenye ardhi nzuri yenye rutuba.

Harakati za kudai uhuru toka 1922-1984, nchi nyingi,ziliomba kuwa huru,tonge nono liliwaponyoka,ni kwa kuwachonganisha waafrika wenzao wauane ili kumpachika mrithi wao.

Sehemu nyingi hadi wanaondoka wameacha makovu ya ukabila,rushwa na kila aina ya uvunjifu wa amani.Kuna wakati wanamuunga mkono mtu ambaye wanajua watamtumia kunyonya raslimali zetu hasa kiomgozi huyo akiwa na tamaa ya mali.


Miaka imeenda,nchini Tanzania Mwl aliwahi kuuliza,wakati akiongea mkoami Mbeya kuwa mtu anapohangaika kwa gharama kubwa kuingia Ikulu( mahala patakatifu), mtazameni kwa umakini mkubwa kwani Ikulu hakuna biashara pale ni kupambana na matatizo sugu ya wananchi.

Aliwahi kuonya,matumizi makubwa ya fedha kwani ipo hatari ya kugeuza ikulu sokoni.
 
POMPO,

Nashukuru mkuu. Pamoja sana. Nakuhakikishia mimi natumwa na UZALENDO. Mambo ya UVCCM hayanihusu.

Umeuliza ni kwanini JK aliweza kupita 2005 na ni vipi EL atashindwa kupita. Kama nilivyosema katika utangulizi wangu ni kua Nyerere alimkubali JK kwani hakuna na kashfa yoyote. Nyerere alimkataa EL kwakua alikua ananuka rushwa ingawa alikua bado kijana mdogo. NASISITIZA KAMATI KUU YA CCM 2015 haitakubali kumpitishwa EL.

Wale wote mnaoganga njaa gangeni jaa zenu lakini mjue kua at the end of the day EL atachinjiwa baharini. Habari ndio hiyo!
Hakika umeona mbali uchafu wa Lowasa umefika hatua kubwa sana kiasi kwamba huwezi kumsafisha kabisa kwa lolote pengine kama yeye ni mdogo wake na yesu ila kama naye ni mwanadamu kama sisi hapana.
 
27 Reactions
Reply
Back
Top Bottom