ndamo emmanuel
Member
- Sep 12, 2012
- 31
- 8
Mnasema Lowassa ni Tajiri ana uwezo wa kununua wajumbe na ameshaweka mtandao wa kumpitisha 2015! Kumbuka pia J.K.Nyerere aliwahi kusema yafuatayo baada ya kucheki afya yake ''Hivi sasa nina afya njema na nina uhakika nitamwona Rais ajaye wa awamu ya nne yaani 2005'' Je alimwona?
Kumbukeni yafuatayo: Hakuna mwenye uwezo juu ya roho aizuie Roho;
Wala hana mamlaka juu ya siku ya kufa;
Wala hakuna kuruhusiwa katika vita vile;
Wala Uovu hautamwokoa yule aliyeuzoea. ( Ecclesiastes. 8:8).
Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu,
Lakini mwisho wake ni njia za Mauti! ( Mithali.14:12)
Kumbukeni yafuatayo: Hakuna mwenye uwezo juu ya roho aizuie Roho;
Wala hana mamlaka juu ya siku ya kufa;
Wala hakuna kuruhusiwa katika vita vile;
Wala Uovu hautamwokoa yule aliyeuzoea. ( Ecclesiastes. 8:8).
Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu,
Lakini mwisho wake ni njia za Mauti! ( Mithali.14:12)