cacico
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 8,362
- 7,797
kwa kifupi tungeungana tu kuitoa ccm madarakani! aje mchawi mwingine kuturoga, huyu tuliyemzoea dawa zake zinadunda!Mkuu kwanza nakupongeza sana kwa uchambuzi wako uliokua mzuri kwa kweli nakupa ahsante sana kwa hilo.
Ila ukweli utabakia kua ndani ya CCM hakuna alie msafi hata huyo Kikwete sio msafi.