Husninyo JF-Expert Member Oct 24, 2010 23,723 9,189 May 1, 2012 #42 Dah! Kuishi daslam ujiko bana, mi nipo mpwapwa ila natamani ningekuwa naisha dar.
beibe nasty JF-Expert Member Apr 11, 2012 1,640 523 May 1, 2012 #43 kwa sasa mza moja bt kila julai to sept nakuwaga dar jaman
Perry JF-Expert Member Feb 24, 2011 10,043 2,000 May 1, 2012 #44 Kwa sasa niko dar bt frm july ntakua kwetu moshi navuna maharage na mahindi.over
Mr.mzumbe JF-Expert Member Oct 11, 2011 1,014 957 May 1, 2012 #45 WaliNazi said: .....Ok mimi nipo Kasanga...Kirando.. ninafanya biashara ya migebuka... wewe uko wapi.... kuwa wazi... ....achana na utumwa wa fikra..... Click to expand... kwa sasa nipo Magogoni najipitishapitisha kwa Mkwele ili nami niwemo kwnye baraza jipya la mawaziri.
WaliNazi said: .....Ok mimi nipo Kasanga...Kirando.. ninafanya biashara ya migebuka... wewe uko wapi.... kuwa wazi... ....achana na utumwa wa fikra..... Click to expand... kwa sasa nipo Magogoni najipitishapitisha kwa Mkwele ili nami niwemo kwnye baraza jipya la mawaziri.
Preta JF-Expert Member Nov 28, 2009 24,323 18,793 May 1, 2012 #47 Dr.Chichi said: ngorongoro porini Click to expand... halafu nimekuona ukipiga game....si upo na ile long base yenye stika ya nanii....kwa nini pale ulikanyaga majani.....?
Dr.Chichi said: ngorongoro porini Click to expand... halafu nimekuona ukipiga game....si upo na ile long base yenye stika ya nanii....kwa nini pale ulikanyaga majani.....?