Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 29,858
- 31,887
Inaonekana mtu akija na swagger kuwa anakaa Masaki wallahi anakula kifuko cha mbolea, na mpaka uje kugundua ni Masaki ya Chole, Mkuranga itakuwa 'too late', marinda yatakuwa yashafumuka.
Dah! Jamani Jf kuna raha...!!
Mmenikuna palepale...!!,
Hapa hatuamini mtu mpaka ulete kitambulisho cha kupigia kura,
Eboo!!