Mahakama hipi unaongelea!
Sina taarifa kuhusu hili swala kwenda mahakamani.
Hadi sasa hamna mwenye vithibiti vya kumshitaki mteja wangu!
Mimi nina vithibiti vya kukushitaki ukihusika kuchafua jina la mteja wangu!
Na nitawalipua kwa nyaraka za siri nilizozinyaka ambapo bwana harusi alikuwa ameagizia kontena la milipuko kama ya gongo la mboto ili siku y harusi awadanganyishie watoto watakapofika ukumbini wayarushe watu wakifikiri ni baruti kumbe ni gongo la mboto na inasemekana anaundugu na wale watu wanaojitoa mhanga,,napinga na order nnayo,huyu bwana harusi kaingiza milipuko halafu ana familia afrika ya kusini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.