Chimbuvu
JF-Expert Member
- Jul 17, 2012
- 4,401
- 2,333
we mambo ya kuniita majina ya kihuni sitaki....halafu mbona ukaniambia ukitoka kwenye msiba utapita home na hukuja? au ulienda kulala ilemela kwa mtoto wa kichaga? kesho huendi mzigoni tuonane? kuhusu shemeji yako charminglady utamfahamu taratibu tu usiwe na hofu...
sasa kwani nani anayelijua hilo si ni mimi na wewe tu,kesho nipo free,sikuja sababu ilikuwa ucku maana tulitoka mida yaa saa tano kasoro kumpeleka ilemela,huyo charming lady yukoje sasa tuambizane mana ndugu zako no sisi na kamati ndio sisi.
Last edited by a moderator: