Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,595
......by any reason kama JF haitakuwa hewani kwa muda wa mwezi mmoja?
Unadhani wewe utakuwa na hali gani? Ni members gani wataathirika zaidi.
Je unadhani serikali itapumua? Au mafisadi watanawili?
Maadui wa umma watakenua? Au harakati zitahamishiwa facebook na twitter?
Najiuliza mambo mengi,
vp kama itaanzishwa Forum ya the banned yaani kama 'Prison' fulani hivi kwa ajili ya wenye ban tu wengine wasiwena access ya huko unadhani nini kitakuwa kinajadiliwa kule? Ni nani wataongoza kwa kupelekwa?
Kwasababu za kiudadisi je unadhani ban zitaongezeka?
Unadhani wewe utakuwa na hali gani? Ni members gani wataathirika zaidi.
Je unadhani serikali itapumua? Au mafisadi watanawili?
Maadui wa umma watakenua? Au harakati zitahamishiwa facebook na twitter?
Najiuliza mambo mengi,
vp kama itaanzishwa Forum ya the banned yaani kama 'Prison' fulani hivi kwa ajili ya wenye ban tu wengine wasiwena access ya huko unadhani nini kitakuwa kinajadiliwa kule? Ni nani wataongoza kwa kupelekwa?
Kwasababu za kiudadisi je unadhani ban zitaongezeka?