Caroline Danzi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2008
- 3,713
- 1,263
"hata malaya alizaliwa na bikra"
we kifulambute uko wapi? Potea kabisa.
"hata malaya alizaliwa na bikra"
we kifulambute uko wapi? Potea kabisa.
Caro mimi nipo tena kwa sasa nipo kabisa Arusha nimetulia baada ya mizunguko yangu mingi wapi dada yangu?
Simu yangu iliogelea nikapoteza namba zote. Kama bado unakumbuka namba zangu nipigie tuchat.
kama natendewa haki kiukweli wacheni tu iwe ni addiction!why not!
ah bana weee maisha yenyewe ndo haya haya !niazne tu kujinyima nyima kisa ntaonekana niko addicted!
wengie kazi hazifanyiki vizuri jamani makazini huku kama mpyari haukuwa wakueleweka usiku oh!
sijui wengine lakini kusema ukweli ule wa moyo kabisa mimi ile habari na hubby chubby naipenda i see!
NISAHAULIWE
mzabzab,sasa huu utamu tunaoupata ukizidi kuutafuta au wingi wake,is it unhealthy or wrong kwa mtazamo wowote ule?Hebu tupe uzoefu wako
well mie naona hamna shida mtu kupata utamu au kutafuta utamu. la msingi ni kujilinda wewe na huyo unayeshiriki nae hilo tendo. healthy? well sex is not a killer as far as i know....infact ni stress releaver lol.
kwa uzoefu wangu sex is fun and we shuld all enjoy it jamani na nilazima tuwashukuru wanawake ambao nao wanapenda sex na sio kuwaita majina kama malaya changu, hii inatupozea wanawake kuwa huru kutupa utamu bila makashkash kibao
mzabzab,you are right kusema kweli kwamba sex ipo ili tu-enjoy lakini sasa ikitokea wewe unapenda kufanya kupita kiasi na your other half hapendi kama hivyo wewe, si kutakuwa na matatizo?
Kuna watu ningetaka kusikia maoni yao hapa lakini sijui wako wapi,eti Bazazi,MziziMkavu,Sikonge na Itegamatwi, mpo?
Unanena??
Maana sijakuelewa unaongea kiyunani au kigalatia??
bahati nzuri na yeye hapendi k huwa tunalala hata wiki mbili bila kufanya kitu
Does sex addiction exist? Mie sio medical doctor wala sio Psychologist lakini uzoefu wangu katika maisha nimekutana na watu ambao wako addicted na sex.Ila kwa ukweli sijui kama kuna solid diagnostic criterion that exists with regard to sex addiction na wala sijui kama ni Mental Health Disorders or just behaviour.Ila tunajua kwamba kuna watu wanatabia zao tofauti,zaweza kuwa tabia nzuri au mbaya, Sex addiction yawezakuwa moja ya tabia hizo lakini kusema sex addiction ni tabia nzuri au mbaya ni kitu ambacho naomba tukiongelee hapa kama greater thinkers.
Nilibahatika kuwa close na bibi mzaa baba(RIP) na tulikuwa tuna ongea mambo mengi na kwa ufupi naweza sema bibi yangu alinipeleka "Jando" kwa busara zake kuhusu maisha kwa jinsi alivyomuona mumewe(RIP) na tabia zake.Na moja ya mambo ambayo bibi sijui kama alikuwa anasifia au anabeza ni tabia ya mumewe kupenda sex kupita kiasi,yaani bibi anasema alikuwa anachezea mpododo hata mara tano kwa siku kama babu akiwepo nyumbani siku nzima,mpaka ilifikia bibi alikimbia kurudi kwao kwa muda kwani ilikuwa too much.
To be honest,am not creating an idea that if you seek out too much sexual pleasure you are doing something unhealthy or even wrong but also depends on someones background,beliefs,values etc. Or Multiple cheating while in commited relationship or having multiple partners can constitute an addiction too
Wana JF hebu naomba tu-share uzoefu,inawezekana partners/Bfs/Gfs/husbands/Wives wana seek out too much sexual pleasure kutoka kwako na je unaenjoy hiyo hali na je ni addiction kwako wewe ambae unafanya au wewe upande wa pili wa shilling.
Nawatakia Idd alhajj njema kesho.
bahati nzuri na yeye hapendi k huwa tunalala hata wiki mbili bila kufanya kitu
mungu niepushie mbali huu ulevi
mi natamani kiu yangu iwe mara moja kwa mwaka
"hata malaya alizaliwa na bikra"
Hakuna ulevi hapo, tatizo ama ni tamaa za mwili na kukosa kiasi, au jini mahaba. Basi!
Jini mahaba anaweza kukufanya usipende ngono.
mungu niepushie mbali huu ulevi
mi natamani kiu yangu iwe mara moja kwa mwaka