KIKUNGU
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 845
- 585
Does sex addiction exist? Mie sio medical doctor wala sio Psychologist lakini uzoefu wangu katika maisha nimekutana na watu ambao wako addicted na sex.Ila kwa ukweli sijui kama kuna solid diagnostic criterion that exists with regard to sex addiction na wala sijui kama ni Mental Health Disorders or just behaviour.Ila tunajua kwamba kuna watu wanatabia zao tofauti,zaweza kuwa tabia nzuri au mbaya, Sex addiction yawezakuwa moja ya tabia hizo lakini kusema sex addiction ni tabia nzuri au mbaya ni kitu ambacho naomba tukiongelee hapa kama greater thinkers.
Nilibahatika kuwa close na bibi mzaa baba(RIP) na tulikuwa tuna ongea mambo mengi na kwa ufupi naweza sema bibi yangu alinipeleka "Jando" kwa busara zake kuhusu maisha kwa jinsi alivyomuona mumewe(RIP) na tabia zake.Na moja ya mambo ambayo bibi sijui kama alikuwa anasifia au anabeza ni tabia ya mumewe kupenda sex kupita kiasi,yaani bibi anasema alikuwa anachezea mpododo hata mara tano kwa siku kama babu akiwepo nyumbani siku nzima,mpaka ilifikia bibi alikimbia kurudi kwao kwa muda kwani ilikuwa too much.
To be honest,am not creating an idea that if you seek out too much sexual pleasure you are doing something unhealthy or even wrong but also depends on someones background,beliefs,values etc. Or Multiple cheating while in commited relationship or having multiple partners can constitute an addiction too
Wana JF hebu naomba tu-share uzoefu,inawezekana partners/Bfs/Gfs/husbands/Wives wana seek out too much sexual pleasure kutoka kwako na je unaenjoy hiyo hali na je ni addiction kwako wewe ambae unafanya au wewe upande wa pili wa shilling.
Nawatakia Idd alhajj njema kesho.
Nilibahatika kuwa close na bibi mzaa baba(RIP) na tulikuwa tuna ongea mambo mengi na kwa ufupi naweza sema bibi yangu alinipeleka "Jando" kwa busara zake kuhusu maisha kwa jinsi alivyomuona mumewe(RIP) na tabia zake.Na moja ya mambo ambayo bibi sijui kama alikuwa anasifia au anabeza ni tabia ya mumewe kupenda sex kupita kiasi,yaani bibi anasema alikuwa anachezea mpododo hata mara tano kwa siku kama babu akiwepo nyumbani siku nzima,mpaka ilifikia bibi alikimbia kurudi kwao kwa muda kwani ilikuwa too much.
To be honest,am not creating an idea that if you seek out too much sexual pleasure you are doing something unhealthy or even wrong but also depends on someones background,beliefs,values etc. Or Multiple cheating while in commited relationship or having multiple partners can constitute an addiction too
Wana JF hebu naomba tu-share uzoefu,inawezekana partners/Bfs/Gfs/husbands/Wives wana seek out too much sexual pleasure kutoka kwako na je unaenjoy hiyo hali na je ni addiction kwako wewe ambae unafanya au wewe upande wa pili wa shilling.
Nawatakia Idd alhajj njema kesho.