Kikungu i have been thinking sasa huyu babu yenu
kama amewarithisha hiyo addiction
hasaa Kaunga lol....
Alafu sex adiction ni INVERSE PROPOTIONAL to Alcoholism!!!! Yaani watu wasikunywa WANAPENDA KUDINYANA HAOOOO! Coz ndo starehe yao kubwa! Haswaa watu wa dini wasiopenda ya DUNIA, basi akikuoa ujue KAZI UMEPATAAA!!! Kutwa mara 3 kama dozi ya dawa. (Ni mtazamo binafsi sio msimamo wa JF wadau, hamkawii kunipa za uso!!!!)
Sie wanywaji na walevi shurti UTAFUTE STIMU KWANZA ndo zile mambo zikoleeee mahali yake. ( Oooooopppppps!!!!! NILISAHAU KAMA MIMI NI UNUSED!!!!! The Boss)
Lara 1 inategemea kuna wengine ni alcoholism na wanapenda mdododooo vile vile.Jirani yangu ni alcoholism na kila siku utasikia mikelele nyumbani kwake anagombana na mke wake kisa mpododoo jamaa kawa adicted na kudinyanaa.unaambiwa anaweza kufanya zaidi ya mara5 kwa siku kama kalewa.
Nazani pia inategemea na mwenza wako.kama mnapendana kwa dhati mwaweza kufanya mara kwa mara
japo ina madhara kwa upande mwingine kama utafanya na watu tofauti tofauti.hasa kwa upande wa akina mama misuli ya Uvinza inalegea.
Kisosora...utakua unanijua wewe...du kweli JF mwisho...sarikoki,wa kisosora au?Hebu tupe mchango wako kwenye hili,ni unhealthy or wrong kwa mtazamo wowote ule?
Kwaresima lakina Lara1Alafu sex adiction ni INVERSE PROPOTIONAL to Alcoholism!!!! Yaani watu wasikunywa WANAPENDA KUDINYANA HAOOOO! Coz ndo starehe yao kubwa! Haswaa watu wa dini wasiopenda ya DUNIA, basi akikuoa ujue KAZI UMEPATAAA!!! Kutwa mara 3 kama dozi ya dawa. (Ni mtazamo binafsi sio msimamo wa JF wadau, hamkawii kunipa za uso!!!!)
Sie wanywaji na walevi shurti UTAFUTE STIMU KWANZA ndo zile mambo zikoleeee mahali yake. ( Oooooopppppps!!!!! NILISAHAU KAMA MIMI NI UNUSED!!!!! The Boss)