Is it fair?

laki 1?ANATOKA LUBUMBASHI?Kwa nini hakumpokea ubungo bus stand?mwanamke akisha kuambia sijui ngoja niende kwanza kwa dada sijui aunt ujue ana ahadi za kiswahili.nampa pole alikua na hamu ya kula kuku wa kienyeji
 
the case is both fair and fare. if your friend want beyond the fare he aint be fair to her provided that the fare was fairly given
 
inaboa sana, hata kwenda kumuona tu imekuwa nongwa? hapo mapenzi ni 0-0=0
 
Tatizo hamjui kusoma alama zanyakatikjmekucha unataka kujifunika!!mwambie alikuwa anamlipia mpenzi wake huyo demu nauli kwani alienda kumfata mkoani!!
 
Huyo kaka *****, yaani atume nauli halafu asiende kumpokea hata amdrop hapo alipofikia? Hiyo ingemsaidia hata kupajua.. Inaelekea hayuko makini wacha wenye visu vikali wale nyama aendelee kuzubaa!
 
Mshikaji wangu mmoja anayeishi Dar ana rafiki yake wa kike wa siku nyingi anayeishi mkoani. Siku chache zilizopita alimuomba amtumie nauli aje Dar kutembea. Jamaa hakufanya ajizi akamtumia kilo 1 ghafla.

Huyo dada alifika Dar Jumatatu ya wiki iliyopita kama alivyoahidi na kupokelewa na ndugu zake, akimuahidi mshikaji kwamba wangeonana kesho yake. Tatizo tangu afike amekuwa busy sana na ndugu zake kiasi amekosa muda kabisa wa kuonana na mshikaji, zaidi ya kuwasiliana nae kwenye simu na kumpa ahadi moto moto.

Jamaa kachoka na ahadi za uongo na ameamua kuwa mpole mpaka huyo dada atakapopata muda wa kumtafuta na kuwa nae, kama sio kurudi mkoani bila kuonana nae. Hivi huyu shemeji yetu anamtendea haki kweli mshikaji?

mvumilivu hula mbivu! yaani usiku wa leo dar hali tete!:rain:
 
Mshikaji wangu mmoja anayeishi Dar ana rafiki yake wa kike wa siku nyingi anayeishi mkoani. Siku chache zilizopita alimuomba amtumie nauli aje Dar kutembea. Jamaa hakufanya ajizi akamtumia kilo 1 ghafla.

Huyo dada alifika Dar Jumatatu ya wiki iliyopita kama alivyoahidi na kupokelewa na ndugu zake, akimuahidi mshikaji kwamba wangeonana kesho yake. Tatizo tangu afike amekuwa busy sana na ndugu zake kiasi amekosa muda kabisa wa kuonana na mshikaji, zaidi ya kuwasiliana nae kwenye simu na kumpa ahadi moto moto.

Jamaa kachoka na ahadi za uongo na ameamua kuwa mpole mpaka huyo dada atakapopata muda wa kumtafuta na kuwa nae, kama sio kurudi mkoani bila kuonana nae. Hivi huyu shemeji yetu anamtendea haki kweli mshikaji?

Imekula kwake....Nauli gani ya Laki??? Why nauli atume Nani na Kumpokea ampokee Nyani??? Ngumu kumeza..........
 
Kwani huyu jamaa na huyo demu wake wako kwenye mkataba gani (ndoa, wachumba au marafiki tu?) Kama ni marafiki tu basi inabidi akubaliane na hali halisi. Maana demu kafika kwa ndg zake na labda amejaribu kutafuta mbinu za kuwatoka ili aende kwa jamaa zinashindikana. Jamaa kama anampenda kweli demu basi aende akajitambulishe kwao ili wakati mwingine iwe rahisi kuaga toka kwa ndg kuwa anakwenda kwa mchumba; bila hivyo mambo yatakuwa ni hivyo siku zote wengine watoto wa mageti.
Hawa ni marafiki tu, hawajafikia hatua ya uchumba.
 
Imekula kwake....Nauli gani ya Laki??? Why nauli atume Nani na Kumpokea ampokee Nyani??? Ngumu kumeza..........
Ofcourse nauli ni kama 60, na jamaa aliipiga kilemba ili mtoto asipate taabu njiani.
 
Huyo kaka *****, yaani atume nauli halafu asiende kumpokea hata amdrop hapo alipofikia? Hiyo ingemsaidia hata kupajua.. Inaelekea hayuko makini wacha wenye visu vikali wale nyama aendelee kuzubaa!
Huyo dada alimshauri asije kumpokea kwani ndugu zake wangekuja kumpokea na ingeleta picha mbaya kwake kwani hawamfahamu.
 
the case is both fair and fare. if your friend want beyond the fare he aint be fair to her provided that the fare was fairly given

BUT the girl wasnt fair to accept the fare, I mean 100K, and not 'showing up' as the 'initial contract'...the contract, being fair enough, was for the girl to come to visit her BF (I suppose he is), and given the fairly given fare, it is common sense and a just thing for the girl to make sure she fulfill her part of the contract and meet him fairly.....
 
Huyo dada alimshauri asije kumpokea kwani ndugu zake wangekuja kumpokea na ingeleta picha mbaya kwake kwani hawamfahamu.


Kiongozi hapo ndipo 'ulipoibiwa' mchana kweupeeeeeeeeeee

Kwa nini alikuomba nauli kama ndugu zake wanaweza kuwa na 'ushabiki' kiasi cha kuja kumpokea ubungo, na huku hawajampa nauli ya kuja kutembea Dar? Hapo tu......
 
Kiongozi hapo ndipo 'ulipoibiwa' mchana kweupeeeeeeeeeee

Kwa nini alikuomba nauli kama ndugu zake wanaweza kuwa na 'ushabiki' kiasi cha kuja kumpokea ubungo, na huku hawajampa nauli ya kuja kutembea Dar? Hapo tu......

Hommie mi ndo nakatiza Korogwe hapa.......:teeth:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom