Is it fair?

Asimuulize,awe kimya aone kama atamtafuta.Asipo mtafuta akirudi mkoani kimya kimya basi hiyo ni automatic red card.Haina mjadala ni sawa na kufumania,hakuna mazungumzo after ni kila mtu na lwake.
 
Asimuulize,awe kimya aone kama atamtafuta.Asipo mtafuta akirudi mkoani kimya kimya basi hiyo ni automatic red card.Haina mjadala ni sawa na kufumania,hakuna mazungumzo after ni kila mtu na lwake.

Twenzetu tukahesabiwe...............
 
Mshikaji wangu mmoja anayeishi Dar ana rafiki yake wa kike wa siku nyingi anayeishi mkoani. Siku chache zilizopita alimuomba amtumie nauli aje Dar kutembea. Jamaa hakufanya ajizi akamtumia kilo 1 ghafla.

Huyo dada alifika Dar Jumatatu ya wiki iliyopita kama alivyoahidi na kupokelewa na ndugu zake, akimuahidi mshikaji kwamba wangeonana kesho yake. Tatizo tangu afike amekuwa busy sana na ndugu zake kiasi amekosa muda kabisa wa kuonana na mshikaji, zaidi ya kuwasiliana nae kwenye simu na kumpa ahadi moto moto.

Jamaa kachoka na ahadi za uongo na ameamua kuwa mpole mpaka huyo dada atakapopata muda wa kumtafuta na kuwa nae, kama sio kurudi mkoani bila kuonana nae. Hivi huyu shemeji yetu anamtendea haki kweli mshikaji?

Wauliza wapi ULIMI hali mdomo wauona; kama huyo ni shemeji yenu angekuwa kwenu na msingehangaika! Nduguyo hana hatimiliki hapao na usikute yupo hapo mjini anajivinjari na wenegine kwa gharama ya rafiki yako!
 
Mkome. Madem wakipewa wanaamini ni stahili yao. Aliomba nauli , kwani jamaa aliomba cho chote in turn ? It can't be automatic
 
Kwa uzoefu wangu huyo Binti atakwenda kwa huyo ndugu yako baada ya kumaliza mizunguuko yake si kwa nia ya kumtembelea bali ya kumlaghai kwa penzi la dakika kadhaa kisha kumwomba nauli ya kurudi kwao!
 
ubwege mwingine bana...!!!!yeye kilimshinda nini kwenda kumpokea mwandani wake ili hata kama anaenda na nduguze walau watiana machoni...hapo ndo angepata picha halisi kama hiyo safari ni yake yeye kidume AU ndo ameshakuwa wa kuzugia!!!!!!!! ndo tabu ya watu kufanya ishu kwa mazoea....!!
 
BUT the girl wasnt fair to accept the fare, I mean 100K, and not 'showing up' as the 'initial contract'...the contract, being fair enough, was for the girl to come to visit her BF (I suppose he is), and given the fairly given fare, it is common sense and a just thing for the girl to make sure she fulfill her part of the contract and meet him fairly.....

the girl was fair (not unfair as you say) to accept the fairly given fare. in this sense, demanding anything beyond the fairly given fare or forcing her to show up based on the fare alone do not render fair justice to both herself and her fair need for fare, even though it was an air fare.
 
kwa uzoefu wangu huyo binti atakwenda kwa huyo ndugu yako baada ya kumaliza mizunguuko yake si kwa nia ya kumtembelea bali ya kumlaghai kwa penzi la dakika kadhaa kisha kumwomba nauli ya kurudi kwao!

simpi hata alie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom