Rose1980
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 5,684
- 1,302
Hommie mi ndo nakatiza Korogwe hapa.......:teeth:
Waenda wap?
ufike salama ennh...
usisimame kichakan km bgrta!!!!!!
Hommie mi ndo nakatiza Korogwe hapa.......:teeth:
Hommie mi ndo nakatiza Korogwe hapa.......:teeth:
Hebu simama hapo kwa "kibo Garden" nisubiri kuna mdudu wa kuchoma hapo balaa!:whoo:Hommie mi ndo nakatiza Korogwe hapa.......:teeth:
Asimuulize,awe kimya aone kama atamtafuta.Asipo mtafuta akirudi mkoani kimya kimya basi hiyo ni automatic red card.Haina mjadala ni sawa na kufumania,hakuna mazungumzo after ni kila mtu na lwake.
Mshikaji wangu mmoja anayeishi Dar ana rafiki yake wa kike wa siku nyingi anayeishi mkoani. Siku chache zilizopita alimuomba amtumie nauli aje Dar kutembea. Jamaa hakufanya ajizi akamtumia kilo 1 ghafla.
Huyo dada alifika Dar Jumatatu ya wiki iliyopita kama alivyoahidi na kupokelewa na ndugu zake, akimuahidi mshikaji kwamba wangeonana kesho yake. Tatizo tangu afike amekuwa busy sana na ndugu zake kiasi amekosa muda kabisa wa kuonana na mshikaji, zaidi ya kuwasiliana nae kwenye simu na kumpa ahadi moto moto.
Jamaa kachoka na ahadi za uongo na ameamua kuwa mpole mpaka huyo dada atakapopata muda wa kumtafuta na kuwa nae, kama sio kurudi mkoani bila kuonana nae. Hivi huyu shemeji yetu anamtendea haki kweli mshikaji?
Waenda wap?
ufike salama ennh...
usisimame kichakan km bgrta!!!!!!
BUT the girl wasnt fair to accept the fare, I mean 100K, and not 'showing up' as the 'initial contract'...the contract, being fair enough, was for the girl to come to visit her BF (I suppose he is), and given the fairly given fare, it is common sense and a just thing for the girl to make sure she fulfill her part of the contract and meet him fairly.....
kwa uzoefu wangu huyo binti atakwenda kwa huyo ndugu yako baada ya kumaliza mizunguuko yake si kwa nia ya kumtembelea bali ya kumlaghai kwa penzi la dakika kadhaa kisha kumwomba nauli ya kurudi kwao!