See For Me
JF-Expert Member
- Sep 7, 2022
- 311
- 1,140
Home and Away
Mtu kashikishwa mabanzi ili achore saba hewani..!!"Wengine wanahisi labda walikuwa wanafanya mapenzi lakini hatuna uhakika maana ndani hakuna kitanda labda walifanyia sakafuni au juu ya meza,"
Hii statement imenichekesha, wamejiuliza na kujijibu wenyewe,
Nimekumbuka wimbo wa Jay Melody alisema "mkeka, busati sio kila siku godoro..."
Sasa wapo uchi.... wengine wanahisi labda walikuwa wanafanya mapenzi lakini hatuna uhakika maana ndani hakuna kitanda labda walifanyia sakafuni au juu ya meza...
Wananzengo wape picha tu stori waachie wao
Acha kuhukumu,huo moto was milele ulishaona naninkakutana nao!?Aibu wataona waliobaki, wao hawaoni noma tena huko waliko, ngoja wakutane na ule moto wa milele. Straight to hell
Yes GG
Tatizo atapata miguno kama ya muuza mgahawa (mke wa awali)Huyo jamaa nae achukue huyo mke aliyebaki maisha yaendelee watunze watoto
Mbona kifo cha aibu namna hii