LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Mpaka sasa pamoja na matukio yote ktk picha,Je? Kuna mwenye kujua kama wale misukule wameonekana? Je? Yule mama aliyeambiwa na yule mama akamchukue mtoto wake kwani hajakatwa ulimi bado,je? Alimkuta mtoto wake akiwa mzima. Je? Mme wa huyo mama yupo hai? Kwa anayejua atujuze wajamen!