kumbe iringa pia kuna makabila makubwa eh?? sikujua kabisa nilidhani wahehe ni kabila dogo kulinganisha na wahayaHaya Sasa Iringa.... na FFU wako na kawaida yao Mabomu ya Machozi
Ni lini walianza kurushia Mabomu wananchi? Wakati wa Mwalimu hakukuwa na Mabomu ya kurushia wananchi?
** Rais wetu anataka nini na kukaa kimya?
Maeneo yote yaliyopelekewa FFU ni Mikoa ambayo ina Makabila Makubwa Nchini.... Mwanza, Arusha, Mbeya na Sasa Iringa
** CCM imeshindwa kuongoza??
Au KIKWETE APENDA AKIMBILIE NJE YA NCHI??
kumbe iringa pia kuna makabila makubwa eh?? sikujua kabisa nilidhani wahehe ni kabila dogo kulinganisha na wahaya
haya
Wangemtia kiberiti tuu atangulie mbele za haki huwezi weka wenzio kama misukule!
Huyu maana mambo ya giza ameanza kitambo sana na ndiko utajili wake unakotokea uko!
wewe vp?.CCM na misikule wapi na wapi,kwani huyo mama ni CCM? ulitaka FFU wafanye nini?.sheria lazima ifatwe.huwezi kuunguza nyumba na kuua mtu bila ushahidi.na wapongeza FFU na viongozi walio husika.Haya Sasa Iringa.... na FFU wako na kawaida yao Mabomu ya Machozi
Ni lini walianza kurushia Mabomu wananchi? Wakati wa Mwalimu hakukuwa na Mabomu ya kurushia wananchi?
** Rais wetu anataka nini na kukaa kimya?
Maeneo yote yaliyopelekewa FFU ni Mikoa ambayo ina Makabila Makubwa Nchini.... Mwanza, Arusha, Mbeya na Sasa Iringa
** CCM imeshindwa kuongoza??
Au KIKWETE APENDA AKIMBILIE NJE YA NCHI??