tbl
Senior Member
- Mar 29, 2011
- 116
- 41
WanaJf ni iringa hapa mitaa ya frelimo watu wamejazana sana kwenye nyumba ya mama mmoja wanadai kuna misukule imekutwa amefungia kwenye moja ya chumba katika nyumba yake,inasemekana wananchi walitaka kumpiga mama huyo na hivyo polisi wametumia mabomu ya machozi kuwatawanya,naona kwa mbali jamani mwembetogwa huku zinapita gari za polisi tu na ving'ora juu aliyepo karibu atujuze tafadhali