whitemoney
JF-Expert Member
- Nov 9, 2023
- 671
- 1,431
eboo.....tunataka fantasyJana nmejisikia aibu sana tupo kwenye harusi moja kati ya wale wapambe wa bibi harusi nilimgonga kwenye majani kichaka flani huku mitaa ya home miaka 6 iliyopita leo kaniona nimenyuka suti kali balaaa mkononi nina funguo ya BMW X1 amekuwa so excited kama ni mimi
Kumbuka bibi harusi mwenyewe alikuwa anamegwa na mdogo wangu enzi hyo way back ila now ndo ameolewa na soja mmoja hapa kibaha depo ya msangani (kwa mathias)
Sent from my iPhone 15 Pro Max
hii uliyoandika siyo fantasy.yaani unatamani kufanya kitu gani zaidi kwenye mapenzi
au kinachohusu sex