INAWEZEKANA JAMANI.
ZIPO NJIA NNE. TATU NI NGUMU KIDOGO LAZIMA UJUE UNACHOKIFANYA VINGINEVYO UKIKOSEA KIDOGO TU BASI UTAKUWA UMEZIKA IPHONE YAKO!!
NJIA AMBAYO NI RAHISI AMBAYO WENGI WANAITUMIA UNAWEZA KUPATA MAELEZO YAKE HAPA
Unlock iCloud Lock Permanently via IMEI Code on iPhone
UKIWA MAKINI UTAWIN
Unajua FBI imewachukua muda gani kupata data za iphone ya yule gaidi?
Achana na scam za mitandaoni mkuu so far ni hiyo iphone moja tu duniani ambayo imekua proved data zake kupatikana baada ya kuwa locked
Natumia data zake kupatikana kwasababu ile simu ilifunguliwa vipande vipande na wataalamu wakachukua chip zinazo hifadhi data ndio wakazitoa
Sasa unaposema inawezekana fafanua basi kitaalamu na sio maneno tu na link za scam