Tundu Antipas Lissu ni Tishio.
Sioni sababu ya Kwanini wazuie yeye kuhojiwa tena wakiendelea kumchafua mama samia kwamba maagizo yametoka juu.

Hili linadhairisha huyu jamaa anafatiliwa na watu wengi sana na ni mtu hatari kwa serikali ya CCM.

hatuwezi kumkaba Messi akiwa katika court ya basketball ila akiwa Lebron james atakabwa maradufu.

Hivyo hivyo tukimpa mpira wa miguu Lebron James hatutamkaba ila mpira atakapokuwa nao messi ni lazima watu wachanganyikiwe

Hili jambo la Leo limeivua nguo CCM na kuonyesha maridhiano ya unafki na kuogopwa kwa mtu mmoja kama simba.
 
Wenye mamlaka walikua kitakacho tokea ndio maana wamewahi mapema, yani hapa kuna Hando pale Lissu pangechimbika mbona
 
Kwa akili zako nyingi unafikiri tcra watatoa license ya media ya chadema?
Aende Chanzo, au aje hapa.

Where we dare to talk openly.

Hatahivyo wakikidhi matakwa ya Leseni watapata. Shida nini tena?
 
Kudai haki yako ndo udikteta
Unajua maana ya udikteta wewe hivi uko shuleni mnaenda kusoma nini au mnaenda kukua
Kwa maneno yako hayo ndio unaona umepata haki?

Sasa mtu ashaambiwa , Mzee Interview hamna, yeye anaamua kwenda kuvamia na kugoma kuondoka, hiyo ni nini kama sio kiashiria cha ubabe.

Ndio, Ubabe ni Udikteta.
 
Habari zilizonifikia hivi punde ni kwamba interview ya Mh. Tundu Lissu pale Wasafi FM imefutwa.

Awali ilielezwa kwamba Tundu Lissu angefanya mahojiano katika kituo cha Wasafi. Taarifa zisizowekwa wazi ni kwamba mahojiano hayo yamefutwa kufuatia maelekezo ya CCM

---
Taarifa kutoka ukurasa rasmi wa CHADEMA mtandao wa X

Leo tarehe 07 Februari 2024 Makamu Mwenyekiti Bara Mhe. Tundu Lissu alipata mwaliko wa kufanya mahojiano maalum na kituo cha Luninga cha Wasafi Tv katika kupindi cha Good Morning kinachoanza saa 11 alfajiri mpaka saa mbili asubuhi. Jana usiku moja ya watangazaji wa kipindi hicho alimpigia Mhe. Lissu na kumjuza kuwa mahojiano hayo yameahirishwa kutokana na maelekezo kutoka juu.

Aidha, asubuhi ya leo Mhe. Tundu Lissu amefika Wasafi Tv kujua sababu za kuahirishwa kwa mahojiano hayo. Tunaendelea kufuatilia kinachoendelea muda huu katika ofisi za Wasafi Tv.



Updates

Tundu Lissu sasa yupo Wasafi FM kupata sababu za msingi za kufutwa kwa mahojiano. Licha ya kupewa taarifa kwa njia ya simu, Lissu hakuridhika na badala yake amekuja mwenyewe Wasafi. Uongozi wa Wasafi umeomba radhi bila kueleza sababu za msingi.

View attachment 2896687
Picha: Tundu Lissu akiwa ofisi za Wasafi​
Kwanza nimefurahi sana ,nimekuwa natoa malalamiko hapa jf mara kadhaa kwamba ni chombo Cha Upinzani maana ukinadika mada ya kusifi Serikali na Rais mara nyingi lazima heading wabadili waweke Ile wanayoita.

Ukileta mada ya kuponda Serikali Kwa heading yenye ukakasi inapewa airtime ya kutosha.

Sasa nilikuwa najibiwa na Machadema humu kwamba niende kuandika kwenye majukwa ya ccm kwani humu sijaitwa.

Sasa Leo mumekutana na Rungu huko safi saaana ,tena mpigwe pini kote anzisheni ya kwenu au njooni jf mhojiane na kule kwenye bi blog vyenu 😁😁😁😁😁😁😁
 
Kwa maneno yako hayo ndio unaona umepata haki?

Sasa mtu ashaambiwa , Mzee Interview hamna, yeye anaamua kwenda kuvamia na kugoma kuondoka, hiyo ni nini kama sio kiashiria cha ubabe.

Ndio, Ubabe ni Udikteta.
Yeye ameuliza apewe sababu hakuna sehemu yeyote amevunja sheria wala sio ubabe

Unajua definition dictator ujinga unakusumbua katiba ya Tanzania inatoa freedom of speech
 
wazee wa malalamiko mnatia huruma mkubwa wenu anakataliwa kama vile ilikua Lazima yaani 🤣

kuweni waungwana mkizuiliwa pande hizi,
find other platforms and air the massage you intend to share to the publics, shida iko wap, kwan Lazima wasafi 🐒

kwa tabia hiyo which media house atawaalika tena ving'ang'anizi wenye nuksi na wabishi kama hivi 🐒

Yaani hapa nilipo Ninacheka vibaya sana, wangekuwa wamekataliwa na kituo Cha wasafi hapo ningeelewa, na Wala wasafi wasingeweza kuwakatalia maana kwa mara ya kwanza Leo wangekuwa na idadi kubwa ya wasikilizaji toka ilipoanzishwa. Lakini wamekatazwa na chama Cha majizi, kwa sababu ya wivu, na kutaka wawe wanasikilizwa wao tu kwenye upotoshaji. Acheni kuharibu biashahara za watu kwa kushurutisha kubaki madarakani.

Hapo ulipo umejaa fadhaha na aibu, maana unajua Hila zenu zinazidi kukaa wazi. Hicho kituo Cha wasafi sio machinery ya propaganda chafu za ccm, acheni kituo kiite watu wenye mvuto, kama mmefubaa fubaeni kimpango wenu sio kuharibu biashahara za wanaume.
 
wazee wa malalamiko mnatia huruma mkubwa wenu anakataliwa kama vile ilikua Lazima yaani 🤣

kuweni waungwana mkizuiliwa pande hizi,
find other platforms and air the massage you intend to share to the publics, shida iko wap, kwan Lazima wasafi 🐒

kwa tabia hiyo which media house atawaalika tena ving'ang'anizi wenye nuksi na wabishi kama hivi 🐒
Ratiba mzee,Lissu ana ratiba my ngi,huwezi kumuandaa kisaikolojia halafu ukaahirisha pasipo kutoa sababu maalum.
 
Habari zilizonifikia hivi punde ni kwamba interview ya Mh. Tundu Lissu pale Wasafi FM imefutwa.

Awali ilielezwa kwamba Tundu Lissu angefanya mahojiano katika kituo cha Wasafi. Taarifa zisizowekwa wazi ni kwamba mahojiano hayo yamefutwa kufuatia maelekezo ya CCM

---
Taarifa kutoka ukurasa rasmi wa CHADEMA mtandao wa X

Leo tarehe 07 Februari 2024 Makamu Mwenyekiti Bara Mhe. Tundu Lissu alipata mwaliko wa kufanya mahojiano maalum na kituo cha Luninga cha Wasafi Tv katika kupindi cha Good Morning kinachoanza saa 11 alfajiri mpaka saa mbili asubuhi. Jana usiku moja ya watangazaji wa kipindi hicho alimpigia Mhe. Lissu na kumjuza kuwa mahojiano hayo yameahirishwa kutokana na maelekezo kutoka juu.

Aidha, asubuhi ya leo Mhe. Tundu Lissu amefika Wasafi Tv kujua sababu za kuahirishwa kwa mahojiano hayo. Tunaendelea kufuatilia kinachoendelea muda huu katika ofisi za Wasafi Tv.



Updates

Tundu Lissu sasa yupo Wasafi FM kupata sababu za msingi za kufutwa kwa mahojiano. Licha ya kupewa taarifa kwa njia ya simu, Lissu hakuridhika na badala yake amekuja mwenyewe Wasafi. Uongozi wa Wasafi umeomba radhi bila kueleza sababu za msingi.

View attachment 2896687
Picha: Tundu Lissu akiwa ofisi za Wasafi​

Halafu kuana watu wanafagilia R4 za Maza .... Ujanja ujanja tu wa maCCM....!!
 
Kwani wasafi ni ya CCM? Halafu kwanini Tundu wanamwogopaga sana? Watakubali mahojiano na watu wote lakini sio Tundu, why? Si wanasema demokrasia na utawala bora ikiwa pamoja na ukweli na uwazi vimetamalaki mbona wanaogopa watu kuexpresi feelings zao, si for the people by the people? Au nasema uwongo ndugu zangu?
Tatizo Lisu Hana self control hazingatii kanuni za TCRA akiongea vyombo vya habari

Ni mtu risk Kwa vyombo vya habari vyaweza fungiwa na TCRA labda mahojiano yafanyike Private wahariri ndio warushe Lakini akiongea Live Kuna uwezekano mkubwa chombo Cha habari kufungiwa na TCRA Kwa kukiuka maadili
 
Back
Top Bottom